Kamanda pole,mambo yataenda fresh..nakuaminia ila ULIMBOKA kawaangusha watanzania.
Unafikiri kitu kama hiki ni mchezo, lazima uwe mpole ukitafakari plan B. Wala hajawaangusha wa TZKamanda pole,mambo yataenda fresh..nakuaminia ila ULIMBOKA kawaangusha watanzania.
Kamanda pole,mambo yataenda fresh..nakuaminia ila ULIMBOKA kawaangusha watanzania.
Mkuu Ulimboka alifanya sehemu yake na jamii ilitakiwa pia kufanya katika nafasi yake. Huduma bora za afya haikuwa ni kwa manufaa ya Uli bali sisi wote.
Pole sana kamanda, imefika wakati akija mgojwa gamba unammaliza taratibu, maaana tumechoka sasa hatuna namna!
kumbe mkuu na wewe ni daktariMkuu hajaachwa peke yake hata gharama za kufuatilia kesi pamoja na wakili zimesaidia kuchangiwa na madaktari wenzake. Hata Dr.Godbless ataweza kuthibitisha hili. Sio uungwana kumwachia peke yake jambo lililopo mbele yetu. Hakuwa anapigania maslahi binafsi.