Serikali yahamasisha uwekezaji utalii kanda ya ziwa

Papaa Muu

JF-Expert Member
Nov 6, 2018
243
292
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeanza uhamasishaji wa kuwavutia Wawekezaji watakaosaidia kuwapeleka watalii katika maeneo ya Ukanda wa Ziwa baada ya Serikali hiyo kuweka miundombinu wezeshi ya Utalii katika maeneo hayo.

Hatua hiyo inakuja baada ya Serikali kuyapandisha hadhi Mapori ya Akiba ya ya Burigi, Biharamulo, Kimisi,Ibanda na Rumanyika kuwa Hifadhi ya Taifa.

Akizungumza kwenye ufunguzi wa mkutano wa siku moja uliofanyika jijini Mwanza baina ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Wawekezaji kutoka maeneo mbalimbali nchini, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amesema Sekta binafsi ni injini ya Utalii nchini.
2.JPG
 
1552883846441.png


Kila mwaka hawa jamaa wanapanda mlima Kilamanjaro kupitia hii social funding program kwetu sisi ni free promotion at a large BBC audience matokeo yake kumekua na ongezeko la wapandaji wa mlima (sidhani ata kama wahusika wanaelewa impact yake) tangia hii programme imeanza hakuna jitihada za serikari to mesh up marketing activities to boost other visiting attractions.

Ndio ujue ubunifu ni sehemu ya maendeleo bila ya diasapora mnajiongopea ppl there are just useless strategically
 
na muda mfupi ujao rout mpya itatangazwa ambapo watalii watalazimika kutua CHATO airport na Mwanza na sio KIA kama ilivyozoeleka !
Kaskazini mtaisoma namba !

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa Chato hata wakitua hakunna mshawasha wa biashara. Kama Moshi na Arusha kuna makampuni ya tour guide, hotel na lodge za kitalii, curio shops, sehemu za kutembelea, usafiri, museum, trekking, and so on. Kuna mlima Kilimanjaro hali ya hewa nzuri sana etc. Sasa wakitua chato wataenda wapi kula bata maana utalii ni bata tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1048072

Kila mwaka hawa jamaa wanapanda mlima Kilamanjaro kupitia hii social fundung program kwetu sisi ni free promotion at a large BBC audience matokeo yake kumekua na ongezeko la wapandaji wa mlima (sidhani ata kama wahusika wanaelewa impact yake) tangia hii programme imeanza hakuna jitihada za serikari to mesh up marketing activities boost other attractions.

Ndio ujue ubunifu ni sehemu ya maendeleo bila ya diasapora mnajiongopea ppl there are just useless strategically
Tulishaambiwa tumeendelea sana mimi nashangaa mkiufufua huu uwanja wa hala soweto ukawa full functional ili watalii wakitua KIA waje na chattered plane mpaka hapa Soweto kisha wapande mlima maana ni karibu sana ukiwa hapa Soweto airport au moshi airport upande mlima ni kama kilomita nane tofauti ukitokea KIA ni kama kilomita 42

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulishaambiwa tumeendelea sana mimi nashangaa mkiufufua huu uwanja wa hala soweto ukawa full functional ili watalii wakitua KIA waje na chattered plane mpaka hapa Soweto kisha wapande mlima maana ni karibu sana ukiwa hapa Soweto airport au moshi airport upande mlima ni kama kilomita nane tofauti ukitokea KIA ni kama kilomita 42

Sent using Jamii Forums mobile app
Money you dont want to know in terms of marketing possibilities ya red-nose na hawa watu wanavyopeteza fursa. Saa zingine tuwaache tu wengine we are just passive commentators.

Kama wameshindwa UDART na demand ya services awataweza chochote

But then you know what ukikaa kwenye jua ukafumba macho ukaa concentrate kwenye makope ukifingua ghafla I am sure you can see an atom its a bubble ;););) me in my other thoughts outside our politics
 
Money you dont want to know in terms of marketing possibilities ya red-nose na hawa watu wanavyopeteza fursa. Saa zingine tuwaache tu wengine we are just passive commentators.

Kama wameshindwa UDART na demand ya services awataweza chochote

But then you know what ukikaa kwenye jua ukafumba macho ukaa concentrate kwenye makope ukifingua ghafla I am sure you can see an atom its a bubble ;););) me in my other thoughts outside our politics
Ndo tufanyeje tena maana kwenye mlima peke yake kupitia utalii wanapata mabilioni ya dola either moja au mbili kwa mwaka. Alafu unalisikia hili likichaa linataka kufanya damage control. Juzi ameipiga Kili marathon mamilioni ya shilingi ili life. Sasa unajiuliza matamasha yote yanaongelea na kutangaza na kuvuta utalii yakifa na ukakosa dolla si ndo unaanza kuny'ang'anga hela za watu za bureau de change.

Ila huyu msukuma ni msenge sana yaani anag'ata mkono unaomlisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na muda mfupi ujao rout mpya itatangazwa ambapo watalii watalazimika kutua CHATO airport na Mwanza na sio KIA kama ilivyozoeleka !
Kaskazini mtaisoma namba !

Sent using Jamii Forums mobile app

Mngekuwa na imani kidogo tu kama punje ya haradali, mnuambia mlima wa Kilimanjaro ng'oka uende Chato, nao ungetii, tatizo imani haipo na yote mfanyayo kwa nia hiyo, ni sawa na sifuri. wait and see
 
Ndo tufanyeje tena maana kwenye mlima peke yake kupitia utalii wanapata mabilioni ya dola either moja au mbili kwa mwaka. Alafu unalisikia hili likichaa linataka kufanya damage control. Juzi ameipiga Kili marathon mamilioni ya shilingi ili life. Sasa unajiuliza matamasha yote yanaongelea na kutangaza na kuvuta utalii yakifa na ukakosa dolla si ndo unaanza kuny'ang'anga hela za watu za bureau de change.

Ila huyu msukuma ni msenge sana yaani anag'ata mkono unaomlisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu ata sijui naanzia wapi na hii fursa wanayopeteza, mambo wengine tuwaachie

Ntakachokwambia kwa ufupi nchi ziliondelea aziingozwi na wanasiasa bali wataalamu serikarini na hakuna waliobobea kama makatibu wakuu wa wizara ambao wote ni maafisa usalama kasheshe sasa mpaka ufike hapo (nikisoma hawa wapuuzi humu ndani wanaojiita mafisa usalama) sidhani kama wanaelewa maana yake nini.

Kwa wengine JF inabaki kuwa hobby tu yakuchangia, but then we have a lot of other hobbies some of us.
 
Back
Top Bottom