Serikali yaanza kutumia Teknolojia ya Video

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,206
18,548
Serikali ktk mkakati wake wa kubana matumizi imeanza kutumia teknolojia ya Video Conference vizuri na leo kimefanyika kikao cha viongozi wa idara mbalimbali kutoka mikoa mitano chini ya waziri Kairuki huku kila mmoja akiwa mkoa kwake huku wakiongea uso kwa uso.
 

Attachments

  • 1456335739505.jpg
    1456335739505.jpg
    12.8 KB · Views: 43
Haijalishi nani kabuni lkn imefunguliwa na Waziri Kairuki(CCM), sasa kama inakusumbua na haupendi unaweza kuhama nchi au ukishindwa saga vyupa unywe lkn sisi tunachojua Waziri Kairuki ndiyo aliyefunguconference TanZania!
Nipo kwenye taasisi ya umma, tumeanza kutumia hiyo kitu tangu mwaka 2004, na mimi ndiye nilifanya configuration
 
Watu mbona wanapenda kupinga pinga tu kila jambo eti wanasema mfumo huo unatumika tangu 2014 jamani kweli? To what extent? Usizungumzie ofisi mbili au tatu lengo ni kufanya uwe mfumo rasmi ofisi zote hakuna tena habari za kukutana Dodoma
 
Serikali ktk mkakati wake wa kubana matumizi imeanza kutumia teknologia ya habari vizuri na leo kimefanyika kikao cha viongozi wa idara mbalimbali kutoka mikoa mitano chini ya waziri Kairuki huku kila mmoja akiwa mkoa kwake huku wakiongea uso kwa uso.
Hongera serikali Ya Magufuli.
Magu utatuua na njaa kweli tunaisoma namba
 
Hongera, lakini ivi usipo jisifia unabadilika rangi?
Sorry, haikuwa nia yangu kujisifia. Nilikuwa naweka msisitizo wa source ya information hiyo kuwa ni mimi mwenyewe niliconfigure local station, na hayo yaliwezekana baada ya kwenda training nje ya nchi
 
Kwa hiyo kama umekuwa ukitumia, unachotaka kusema ni nini?
Nachotaka kusema ni kwamba hiyo kitu si mpya kwenye sekta ya umma, tofauti ya sasa na enzi zile ni kuongezeka kwa bandwidth
kutokana na uwepo wa NICTBB (mkonge wa taifa). Ingekuwa si mambo ya kuficha ID humu ningekualika ofisini uone jinsi mavideo yanavyotiririka
 
Hili ni jambo zuri sana,Sasa rais akitaka kuongea na wakuu wote wa mikoa/wilaya
/wakurugenzi awe akitumia hii mambo sio kuitana ngurdoto...
in future isambazwe shule za serikali hasa masomo ya sayansi ili mwalimu mmoja Say arusha anafundisha karibia nchi nzima
 
binafsi sioni cha ajabu kwenye video conferencing. issue yangu ni kwamba posho za vikao pia zimefutwa a.k.a zimetumbuliwa? maana hicho ni kikao kama vikao vingine tuu.
 
Nachotaka kusema ni kwamba hiyo kitu si mpya kwenye sekta ya umma, tofauti ya sasa na enzi zile ni kuongezeka kwa bandwidth
kutokana na uwepo wa NICTBB (mkonge wa taifa). Ingekuwa si mambo ya kuficha ID humu ningekualika ofisini uone jinsi mavideo yanavyotiririka
Kipya hapa ni serikali hii ya awamu ya tano imejaa promo
 
Back
Top Bottom