PreGE2025 Serikali yaahidi kutofumba macho dhidi wanaovuruga amani

PreGE2025 Serikali yaahidi kutofumba macho dhidi wanaovuruga amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,514
Reaction score
6,070
Kwa kuwa suala la amani ni jukumu la kila mtanzania kabla ya wizara yenye mamlaka husika moja kwa moja. Ni kwa nini wenye mamlaka husika wasingewaweka wazi watu hawa wabaya ili sisi raia tuwatambue kuliko kutupa jiwe gizani?
================

Watanzania wameombwa kuendelea kudumisha muungano, kuitunza amani pamoja na kuwaunga mkono viongozi mbalimbali wanaowaongoza ili wazidi kuleta maendeleo nchini.

Hayo ameyaeleza Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah leo Aprili 25,2025 kwenye maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika kimkoa mkoani Mtwara katika Manispaa ya Mtwara Mikindani huku kitaifa yakitarajiwa kufanyika Jijini Dodoma.

Aidha amewahakikishia watanzania hao kuwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na serikali ya Zanzibar itaendelea kuilinda amani ya nchi na kudumisha muungano.

"Serikali haitasita kuchukua hatua kwa mtu, kikundi cha watu au taasisi ambayo itabainika kuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani ya muungano."Amesema Abdulla

20250425_175803.jpg
 
Kwa kuwa ni suala la amani ni jukumu la kila mtanzania kabla ya wizara yenye mamlaka husika moja kwa moja. Ni kwa nini wenye mamlaka husika wasingewaweka wazi watu hawa wabaya ili sisi raia tuwatambue kuliko kutupa jiwe gizani?

Itakuwa ni Hawa hapa:

GpKTDgdXQAEyuCc.jpeg


Gow2G3oWEAA1-Ip.jpeg
 
Watanzania wameombwa kuendelea kudumisha muungano, kuitunza amani pamoja na kuwaunga mkono viongozi mbalimbali wanaowaongoza ili wazidi kuleta maendeleo nchini.

Hayo ameyaeleza Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah leo Aprili 25,2025 kwenye maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika kimkoa mkoani Mtwara katika Manispaa ya Mtwara Mikindani huku kitaifa yakitarajiwa kufanyika Jijini Dodoma.

Aidha amewahakikishia watanzania hao kuwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na serikali ya Zanzibar itaendelea kuilinda amani ya nchi na kudumisha muungano.

"Serikali haitasita kuchukua hatua kwa mtu, kikundi cha watu au taasisi ambayo itabainika kuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani ya muungano."Amesema Abdulla

Hata hivyo amewaomba viongozi katika taasisi mbalimbali kuendelea kuelimisha na kuifunza jamii hususani vijana juu ya muungano ili waje kuwa viongozi bora watakao jua historia ya nchi yao.

Mkuu wakoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala amesema wanamtwara wanazishukuru serikali zote mbili kwa kuwaletea na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye maeneo yao.

Ameitaja baadhi ya miradi hiyo ya maendeleo inayotekelezwa ikiwemo upanuzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa bandari Nchini (TPA) mkoani humo, upanuzi wa uwanja wa ndege, ujenzi wa hospitali ya rufaa ya Kanda ya kusini.

Hata hivyo uimarishaji wa ujenzi wa miundombinu katika hospitali ya rufaa ya Mkoa ya Ligula, uwepo wa gesi asilia na mingine.

"Vile vile kazi kubwa imefanyika katika uwezeshaji wananchi kiuchumi, mheshimiwa mgeni rasmi kila eneo unalogusa katika Mkoa wetu iwe katika kitongoji, kata, tarafa halmashauri hadi wilaya utaiona sura, miguu au nyayo alimopita Dk. Samia Suluhu Hassan"Amesema Sawala
Screenshot 2025-04-25 192715.png
 
Kwa kuwa suala la amani ni jukumu la kila mtanzania kabla ya wizara yenye mamlaka husika moja kwa moja. Ni kwa nini wenye mamlaka husika wasingewaweka wazi watu hawa wabaya ili sisi raia tuwatambue kuliko kutupa jiwe gizani?
================

Watanzania wameombwa kuendelea kudumisha muungano, kuitunza amani pamoja na kuwaunga mkono viongozi mbalimbali wanaowaongoza ili wazidi kuleta maendeleo nchini.

Hayo ameyaeleza Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah leo Aprili 25,2025 kwenye maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika kimkoa mkoani Mtwara katika Manispaa ya Mtwara Mikindani huku kitaifa yakitarajiwa kufanyika Jijini Dodoma.

Aidha amewahakikishia watanzania hao kuwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na serikali ya Zanzibar itaendelea kuilinda amani ya nchi na kudumisha muungano.

"Serikali haitasita kuchukua hatua kwa mtu, kikundi cha watu au taasisi ambayo itabainika kuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani ya muungano."Amesema Abdulla

View attachment 3315361
Kwani wanao haribu amani ya hii nchi ni nani zaidi ya serikali ya Ccm kwa kupitia vyombo vyao vya usalama?
 
Kwa kuwa suala la amani ni jukumu la kila mtanzania kabla ya wizara yenye mamlaka husika moja kwa moja. Ni kwa nini wenye mamlaka husika wasingewaweka wazi watu hawa wabaya ili sisi raia tuwatambue kuliko kutupa jiwe gizani?
================

Watanzania wameombwa kuendelea kudumisha muungano, kuitunza amani pamoja na kuwaunga mkono viongozi mbalimbali wanaowaongoza ili wazidi kuleta maendeleo nchini.

Hayo ameyaeleza Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah leo Aprili 25,2025 kwenye maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika kimkoa mkoani Mtwara katika Manispaa ya Mtwara Mikindani huku kitaifa yakitarajiwa kufanyika Jijini Dodoma.

Aidha amewahakikishia watanzania hao kuwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na serikali ya Zanzibar itaendelea kuilinda amani ya nchi na kudumisha muungano.

"Serikali haitasita kuchukua hatua kwa mtu, kikundi cha watu au taasisi ambayo itabainika kuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani ya muungano."Amesema Abdulla

View attachment 3315361
TAKATAKA
 
Wanao haribu amai ji polisi wala sio wengine mfano wange waacha CHADEMA waendelee na harakati zao kulikuwa na shida gani?
 
Kwa kuwa suala la amani ni jukumu la kila mtanzania kabla ya wizara yenye mamlaka husika moja kwa moja. Ni kwa nini wenye mamlaka husika wasingewaweka wazi watu hawa wabaya ili sisi raia tuwatambue kuliko kutupa jiwe gizani?
================

Watanzania wameombwa kuendelea kudumisha muungano, kuitunza amani pamoja na kuwaunga mkono viongozi mbalimbali wanaowaongoza ili wazidi kuleta maendeleo nchini.

Hayo ameyaeleza Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah leo Aprili 25,2025 kwenye maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika kimkoa mkoani Mtwara katika Manispaa ya Mtwara Mikindani huku kitaifa yakitarajiwa kufanyika Jijini Dodoma.

Aidha amewahakikishia watanzania hao kuwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na serikali ya Zanzibar itaendelea kuilinda amani ya nchi na kudumisha muungano.

"Serikali haitasita kuchukua hatua kwa mtu, kikundi cha watu au taasisi ambayo itabainika kuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani ya muungano."Amesema Abdulla

View attachment 3315361
Urongo ni wao na polisi uchwara wanaovuruga amani
 
Back
Top Bottom