Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Kumbe Hayati Magufuli, Kwa kuhakikisha Anaunganisha Nchi Kwa Barabara zenye kiwango cha Lami Tanzia nzima.
Alianzisha Ujenzi Wa Barabara Kwa Kiwango Cha Lami uliokua unaunganisha Makao Makuu ya Wilaya ya Ngorongoro Hadi Arusha .
Aliyenipa Taarifa hiii, ambaye pia ni Kiongozi Mkubwa wa CCM na ambaye ni Mmasai anaendelea kusema
Jumla ya Kilomita 50 Kwa Kiwango Cha Lami zilikua zimeshajengwa na Hayati Magufuli Kati ya Kuanzia Mwaka 2020 mwezi wa Nne Hadi Umauti unamfika Hayati Magufuli., ikimaanisha kwamba Barabara hiyo ingekamilika 2021 .
Haya hivo, Baada ya Samia kuingia mikataba na Kuiuza Ngorongoro Kwa Waarabu , Waarabu walimtaka kusitisha Ujenzi huo wa Barabara .
Mmejiuliza kwanini wale Wamasai WAWILI wabunge, walikatwa na Rais Samia juu Kwa juu???.
Alianzisha Ujenzi Wa Barabara Kwa Kiwango Cha Lami uliokua unaunganisha Makao Makuu ya Wilaya ya Ngorongoro Hadi Arusha .
Aliyenipa Taarifa hiii, ambaye pia ni Kiongozi Mkubwa wa CCM na ambaye ni Mmasai anaendelea kusema
Jumla ya Kilomita 50 Kwa Kiwango Cha Lami zilikua zimeshajengwa na Hayati Magufuli Kati ya Kuanzia Mwaka 2020 mwezi wa Nne Hadi Umauti unamfika Hayati Magufuli., ikimaanisha kwamba Barabara hiyo ingekamilika 2021 .
Haya hivo, Baada ya Samia kuingia mikataba na Kuiuza Ngorongoro Kwa Waarabu , Waarabu walimtaka kusitisha Ujenzi huo wa Barabara .
Mmejiuliza kwanini wale Wamasai WAWILI wabunge, walikatwa na Rais Samia juu Kwa juu???.