Serikali ya mtaa Mbezi Beach mnatuonea

Serikali ya mtaa Mbezi Beach mnatuonea

Mookiesbad98

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2015
Posts
3,572
Reaction score
4,825
Huu utaratibu wa kulazimisha kila nyumba ilipe 15 elfu kisa tu kuna sungusungu ambao hata hawajulikani ni vijana wa wapi wana taaluma gani katika ulinzi na background check yao ni nani kawasaili huu ni wizi wa mchana kweupe.

Uzoefu unaonyesha Huu ulinzi shirikishi huwa unachukua watu failure kwenye maisha na kuwapa ajira. Hii kampuni yenyewe yasemekana ya mtu binafsi. Wengine hatuna uwezo wa kuwalipa hawa watu tusiowajua. Tunaomba mamlaka husika mtuondolee huu ufisadi.
 
Jilinde mwenyewe,
Nunua manati ya mzungu, washa mara 1 kila mwezi, utakaa uwasikie hao vibaka
 
Block A. Tumechoka na upigwaji wa hela.

block A ni njia ya chini? kama wapo effective ni rahisi kuliko kuweka mlinzi ila ndo inabidi mtu afanye assessment kuamka usiku na kujua kama wapo kweli au geresha
 
Back
Top Bottom