Wana JF, kwa mawazo yangu nafikiri ili nchi hii iwe salama na kutawalika ni lazima iwe ya mseto, lazima katiba ibadilishwe Rais aruhusiwe kuchagua mawaziri kutoka ktk chama chochote bila hivyo ni lazima damu ije imwagike one day!!!
Mawazo mufilisi
Kwani katiba haimpi rais fursa ya kuteua mawaziri kutoka upinzani? Hila mimi sikubaliani rais kuteua mawaziri kutoka upinzani mara nyingi imekuwa inadhoofisha upinzani kama hakuna mtu mwenye nguvu upinzani na anania ya kugombea urais.Mfano Cuf sasa hivi ukilinganisha na kipindi cha nyuma, hata nchi zilizoendelea kama Liberal Democratics (UK) look like a lame duck now.Wana JF, kwa mawazo yangu nafikiri ili nchi hii iwe salama na kutawalika ni lazima iwe ya mseto, lazima katiba ibadilishwe Rais aruhusiwe kuchagua mawaziri kutoka ktk chama chochote bila hivyo ni lazima damu ije imwagike one day!!!