kuna thread hapa inasema kuwa waislamu hawa wameingiza silaha misikitini, RC kaongea hilo pia au??
kuna thread hapa inasema kuwa waislamu hawa wameingiza silaha misikitini, RC kaongea hilo pia au??
Ni nyakati za mwisho, tujiandae kumlaki mwokozi, ukweli ni kuwa hakuna amani Tanzania. Tumebakiza kuchinjana barabarani.
Hao jamaa mbona wanaenenda kinyume na mafundisho ya marehemu mtume mohamed (S.A.W)!?
ndio ni marehemu na kaburi lake si lipo ushahidi ninao.. Sijui kwanini hatupendi kumwita hivyo:biggrin1: hivi kumbe ni marehemu? nilifikiri mitume hawaitwagi marehemu...kama ni marehemu basi yeye na sisi hakuna tofauti yoyote