usiambini
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 627
- 558
Awali ya yote napenda kupongeza utumishi wa umma uliotukuka wa serikali ya magufuli.
Si serikali ya walala hoi na wanyonge.
Vijana wasio na kazi- Hakuna mkakati wa kuajiriwa ila kuna mkakati wa kutumikishwa kwa nguvu na ujira wao ni bure.Wanatakiwa wawepo mashambani ama wasafishe mji bure.
Wanao miliki nyumba za kimasikini-Wanatakiwa wapake rangi wapande bustani na wavunje vijiduka vyao na mikahawa yao ilio ovyo ovyo ili kijenga taaswira ya miji -wakishindwa ni kuhamishwa ndo mana yake.
Wajasiri amali wadogo wadogo huenda wakashindwa.
Hawa wanaojiita wajasiri amali wdogo huenda wakalia kilio cha mbwa mdomo juu baada ya miez michache.
Bila kuzingatia kipato utatakiwa uwe na licence ya biashara ulipe msururo wa kodi na si kila sehemu utafanya biashara ni kusema kwamba miji itakua ni sehemu ya watu wa kipato cha juu na watendaji wa umma.
Kama elimu yako umeishia mabanda tu.Sehemu sahihi kwa serikali hii ni vijijini kulima na huenda ikawa kwa kujitolea.
Viongozi wate sasa wanatumia sheria ni jambo zuri alhamdulilah .
note:sheria za tanzania ni msurumari kwa masikini usifanye makosa utaozea jela .
Sheria hazikuruhusu wewe masikini kuja juu utashindwa tu.ukiwaza mama lishe waza kujenga restaurant una uwezo?
Kwa mujibu wa Paul makonda ndani ya mwaka mmoja na nusu mji wa daresalam hautakua mji rafiki kabisa kwa masikini fuatilia hutuba yake kwa watendaji wa daresalam
Serikali ya makufuli ni serikali bora kuwahi kutokea ila jitahidi uwe na kipato kitachokufanya umiliki malicence uweze kujenga vizur na ulipie kodi zote zinazostahili.
Hakuna mkakati thabit wakuinua vijana badala kujitolea
Si serikali ya walala hoi na wanyonge.
Vijana wasio na kazi- Hakuna mkakati wa kuajiriwa ila kuna mkakati wa kutumikishwa kwa nguvu na ujira wao ni bure.Wanatakiwa wawepo mashambani ama wasafishe mji bure.
Wanao miliki nyumba za kimasikini-Wanatakiwa wapake rangi wapande bustani na wavunje vijiduka vyao na mikahawa yao ilio ovyo ovyo ili kijenga taaswira ya miji -wakishindwa ni kuhamishwa ndo mana yake.
Wajasiri amali wadogo wadogo huenda wakashindwa.
Hawa wanaojiita wajasiri amali wdogo huenda wakalia kilio cha mbwa mdomo juu baada ya miez michache.
Bila kuzingatia kipato utatakiwa uwe na licence ya biashara ulipe msururo wa kodi na si kila sehemu utafanya biashara ni kusema kwamba miji itakua ni sehemu ya watu wa kipato cha juu na watendaji wa umma.
Kama elimu yako umeishia mabanda tu.Sehemu sahihi kwa serikali hii ni vijijini kulima na huenda ikawa kwa kujitolea.
Viongozi wate sasa wanatumia sheria ni jambo zuri alhamdulilah .
note:sheria za tanzania ni msurumari kwa masikini usifanye makosa utaozea jela .
Sheria hazikuruhusu wewe masikini kuja juu utashindwa tu.ukiwaza mama lishe waza kujenga restaurant una uwezo?
Kwa mujibu wa Paul makonda ndani ya mwaka mmoja na nusu mji wa daresalam hautakua mji rafiki kabisa kwa masikini fuatilia hutuba yake kwa watendaji wa daresalam
Serikali ya makufuli ni serikali bora kuwahi kutokea ila jitahidi uwe na kipato kitachokufanya umiliki malicence uweze kujenga vizur na ulipie kodi zote zinazostahili.
Hakuna mkakati thabit wakuinua vijana badala kujitolea