kichwabaya
Member
- Feb 20, 2013
- 76
- 4
Serikali ya Kikwete ni balaa … ebu angalia ofisi ya wakala wa manunuzi serikalini (GPS) mkoa wa Kagera kwa zaidi ya wiki tatu sasa imekatiwa maji kutokana deni la zaidi ya shilingi 35,000.
Kutokana na jengo hilo lenye ofisi mbalimbali za serikali na binafsi, kukatiwa maji, kwa sasa wapangaji hawana mahali pa kujisaidia baada ya vyoo vinavyotumia maji kukosa huduma hiyo.
Kutokana na jengo hilo lenye ofisi mbalimbali za serikali na binafsi, kukatiwa maji, kwa sasa wapangaji hawana mahali pa kujisaidia baada ya vyoo vinavyotumia maji kukosa huduma hiyo.