Serikali ya awamu ya tano inatutenda vibaya watumishi wa umma

Ahead

JF-Expert Member
Jan 11, 2013
2,205
2,431
Serikali hii mpya iliyoaminiwa na umma wa Tanzania imetugeuka watumishi wa umma kwa namna isiyoelezeka,rais aliahidi kuboresha maslahi ya watumishi wa umma kwa nguvu zote lakini mambo yamekuwa tofauti:

i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k

Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha

serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,

sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.
 
Tulieni sindano iingie vizuri
Unayefurahia mateso ya watumishi wa umma elewa hawa wanakuhudumia we na familia yako,ukiugua utaenda ktk hospital ambapo utamkuta daktari ana stress na serikali yake,akikuzidishia dozi ukifa elewa si kosa lake,mnapeleka watoto zenu shule,wakirudi na ziro usidhani zinatokea kwa bahati mbaya,ni hizo sindano unazofurahia ziwaingie,mateso ya watumishi tutagawana na nyie raia wapumbavu,,,,
 
Serikali hii mpya iliyoaminiwa na umma wa Tanzania imetugeuka watumishi wa umma kwa namna isiyoelezeka,rais aliahidi kuboresha maslahi ya watumishi wa umma kwa nguvu zote lakini mambo yamekuwa tofauti:

i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k

Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha

serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,

sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.
Tulieni mkamuliwe. Mnataka nani afanye kazi?
 
Hamna umoja kabisa wa kuamua mambo yenu hasa pale mnapoona haki zenu mbali mbali kama waajiriwa wa Serikali zinapokosekana. Hili litaendelea kuwagharimu kwa kipindi kirefu kijacho.

Serikali hii mpya iliyoaminiwa na umma wa Tanzania imetugeuka watumishi wa umma kwa namna isiyoelezeka,rais aliahidi kuboresha maslahi ya watumishi wa umma kwa nguvu zote lakini mambo yamekuwa tofauti:

i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k

Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha

serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,

sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.
 
Serikali hii mpya iliyoaminiwa na umma wa Tanzania imetugeuka watumishi wa umma kwa namna isiyoelezeka,rais aliahidi kuboresha maslahi ya watumishi wa umma kwa nguvu zote lakini mambo yamekuwa tofauti:

i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k

Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha

serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,

sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.
unataka kwenda selo, haaaa
 
Hamna umoja kabisa wa kuamua mambo yenu hasa pale mnapoona haki zenu mbali mbali kama waajiriwa wa Serikali zinapokosekana. Hili litaendelea kuwagharimu kwa kipindi kirefu kijacho.
Lazima unate na mdundo kwanza , inawezekana kabisa kwa aina ya huyo aliyeko juu kuwafukuza kazi kabisa watakao goma hata kama wanadai haki yao ya msingi maana swala la sheria na haki za utumishi zilisha potelea kusiko julikana tangu November 2016 hivyo watumishi wajiangalie sana tena sana.
Si watishii lakin ndio hali ninayo ihisi.
 
Watumishi wa UMMA na nyie mna meno butu hamwezi kung'ata nyie kazi kulia tu kwani hakuna namna mtafanya kilio chenu kisikike?

Kama mtu anaona huna umuhimu kwake acha unachofanya ajue wewe ni nani !!!
 
Uchumi utakaporuhusu basi maslahi ya wafanyakazi yataboreshwa.

Kwa sasa juhudi iliyopo ni ya kukuza uchumi kwanza.
 
Alafu utakuta lijamaa limevaa tisheti na kofia linasema hoyee.bora tu yakamuliwe hakina cha nyongeza wala babayake na cheo ni kuisoma namba tu
 
Back
Top Bottom