Ahead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 2,290
- 2,566
Serikali hii mpya iliyoaminiwa na umma wa Tanzania imetugeuka watumishi wa umma kwa namna isiyoelezeka,rais aliahidi kuboresha maslahi ya watumishi wa umma kwa nguvu zote lakini mambo yamekuwa tofauti:
i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k
Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha
serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,
sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.
i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k
Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha
serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,
sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.