Serikali ya awamu ya tano inatutenda vibaya watumishi wa umma

Mkuu serikal hii si naww ulikuwemo kwenye ile nyimbo ya wataisoma namba wapinzan? Subir 2020 ukapange mstar utende haki vizur kwenye powerrrrrrrrrr###
 
Mkuu serikal hii si naww ulikuwemo kwenye ile nyimbo ya wataisoma namba wapinzan? Subir 2020 ukapange mstar utende haki vizur kwenye powerrrrrrrrrr###
Hapana niliunga mkono sera ya mabadiriko nje ya ccm na sasa naiunga mkono serikali iliyo madarakani
 
Uchumi utakaporuhusu basi maslahi ya wafanyakazi yataboreshwa.

Kwa sasa juhudi iliyopo ni ya kukuza uchumi kwanza.
Are you crazy?
If no, please answer my questions;
1.Tangu mwaka 1961-2015 Uchumi wa Tanzania ulikuwa unakua kila mwaka?
2.Je, nyongeza ya mshahara ni huruma za rais au ipo kisheria?
3.Rejea swali la kwanza, (a)Kama lipo kisheria je, pametafsiriwa vipi kuhusu ukuaji wa uchumi? (b)kama suala la nyongeza ya mshahara liko chini ya mikono ya rais je, rais aliyeko madarakani ana mtazamo gani juu ya watumishi wa umma ukilinganisha na watumishi wengine?
 
Uchumi utakaporuhusu basi maslahi ya wafanyakazi yataboreshwa.

Kwa sasa juhudi iliyopo ni ya kukuza uchumi kwanza.
Are you crazy?
If no, please answer my questions;
1.Tangu mwaka 1961-2015 Uchumi wa Tanzania ulikuwa unakua kila mwaka?
2.Je, nyongeza ya mshahara ni huruma za rais au ipo kisheria?
3.Rejea swali la pili, (a)Kama lipo kisheria je, pametafsiriwa vipi kuhusu ukuaji wa uchumi? (b)kama suala la nyongeza ya mshahara liko chini ya mikono ya rais je, rais aliyeko madarakani ana mtazamo gani juu ya watumishi wa umma ukilinganisha na marais wengine?
 
Are you crazy?
If no, please answer my questions;
1.Tangu mwaka 1961-2015 Uchumi wa Tanzania ulikuwa unakua kila mwaka?
2.Je, nyongeza ya mshahara ni huruma za rais au ipo kisheria?
3.Rejea swali la pili, (a)Kama lipo kisheria je, pametafsiriwa vipi kuhusu ukuaji wa uchumi? (b)kama suala la nyongeza ya mshahara liko chini ya mikono ya rais je, rais aliyeko madarakani ana mtazamo gani juu ya watumishi wa umma ukilinganisha na marais wengine?
Hawezi kujibu kwa sababu si kwamba hajui ila ameamua kushindana tu
 
Serikali hii mpya iliyoaminiwa na umma wa Tanzania imetugeuka watumishi wa umma kwa namna isiyoelezeka,rais aliahidi kuboresha maslahi ya watumishi wa umma kwa nguvu zote lakini mambo yamekuwa tofauti:

i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k

Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha

serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,

sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.

Dawa ni kugoma kama walimu bila maandamano. Matokeo si unayaona? Na baado. Sifurahii kuihujumu nchi yangu bali kama hamna namna ya kufisha ujumbe kwa wakubwa wetu, utafanyaje?
 
Mimi nimeajiriwa mwaka jana mwezi wa tano hadi sasa sijapata mshahara. Tunaambiwa tusubiri uhakiki uishe hadi sasa
 
Dawa ni kugoma kama walimu bila maandamano. Matokeo si unayaona? Na baado. Sifurahii kuihujumu nchi yangu bali kama hamna namna ya kufisha ujumbe kwa wakubwa wetu, utafanyaje?
Kugoma inaweza isiwe suruhisho tuikumbushe serikali itimize wajibu
 
Kugoma inaweza isiwe suruhisho tuikumbushe serikali itimize wajibu

Shida ni namna gani tunaweza kuikumbusha serikali yetu! Sitaki tufike kwenye mkakati wa panya waliotawanyika bila mafanikio pale walipoulizana, nani amfunge paka kengere ili anapokuja kuwakamata kengere iwe inawajulisha ujio wa paka. Kwa sasa tuko shidani.
 
Ndo mnakumbuka sasa hivi enzi za jk haukujua haya posho za vikap tsheti za makongamano vikao mpaka nnje ya nchi someni nomber sasa
 
Unayefurahia mateso ya watumishi wa umma elewa hawa wanakuhudumia we na familia yako,ukiugua utaenda ktk hospital ambapo utamkuta daktari ana stress na serikali yake,akikuzidishia dozi ukifa elewa si kosa lake,mnapeleka watoto zenu shule,wakirudi na ziro usidhani zinatokea kwa bahati mbaya,ni hizo sindano unazofurahia ziwaingie,mateso ya watumishi tutagawana na nyie raia wapumbavu,,,,
Cjui kama anakuelewa maana watu wengine kama kenge hawasikii had dam masikioni
 
Hamna umoja kabisa wa kuamua mambo yenu hasa pale mnapoona haki zenu mbali mbali kama waajiriwa wa Serikali zinapokosekana. Hili litaendelea kuwagharimu kwa kipindi kirefu kijacho.
Mkulu ana akili sana alichokifanya kwenye vyama vyote vya wafanyakazi kaweka makada ndo makatibu na wenyeviti
 
Serikali hii mpya iliyoaminiwa na umma wa Tanzania imetugeuka watumishi wa umma kwa namna isiyoelezeka,rais aliahidi kuboresha maslahi ya watumishi wa umma kwa nguvu zote lakini mambo yamekuwa tofauti:

i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k

Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha

serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,

sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.
vyama vya wafanya kazi vimewasaidiaje?au hawajaliona hilo?
 
watumishi wa umma hamkumpigia kura mtukufu sasa anawachubua mpaka mtoke vidonda
 
Wakuuu mna 'generalize' mno,,sio wote tulipiga tiki kwa Kijani!!Mimi ni mmoja wapo,, ni Mtumishi wa Serikali lakini yale ya Kijani SIYAPENDI mpaka kufa!!Ila wapo baadhi ya VILAZA wanalia saizi na walkua wanaitikia 'Hoyeee'!!Kwa kweli dhambi inayotutafuna ni kukosa Umoja na Mshikamano,,tunajua kulia sana Mitandaoni kuliko kuchukua Hatua stahiki!!Ahsanteni!
 
Back
Top Bottom