Kwa hiyo walimu wakigoma wanamkomoa nani? Watawahumiza ndg Zao masikini ambao hawana uwezo Wa kupeleka watoto wao Canada. Sasa hv imeshakuwa tatizo tutulie tufanye kazi hakuna namna, hakuna atakayekuthamini wala kukusikiliza. Tujenge msingi bora Wa taifa litakalojitegemea. Siungi mkono migomo eti ndiyo solutions Za kuinua hali ya watumishi Wa umma.
tutakuwa hatufikiri sawasawa tukikidhani waliosoma Canada hawawahitaji waliosoma shule za hovyohovyo hapa kwetu. Migomo imesaidia sehemu nyingi. Na ni unyonge mkubwa kupunjwa maslahi na ukaendelea kuvumilia kwasababu unazozitaja. Waliosomeshwa na walimu wasomeshe watoto wao Canada na mwalimu huyo huyo ashindwe hata kumpa mahitaji sitahiki mtoto wake aliyeko shule ya kata. Halafu aendelee kuvumilia sababu ya taifa. Huyo anayepeleka mtoto wake Canada hili si taifa lake? Walimu nao ni watu, tuwapende na kuwajali.
Kufanya kazi serikalini awamu hii inatakiwa uwe polisi, jeshini au TISS wengine ombeni msaada kwa mungu hamna tija wala faidaSerikali hii mpya iliyoaminiwa na umma wa Tanzania imetugeuka watumishi wa umma kwa namna isiyoelezeka,rais aliahidi kuboresha maslahi ya watumishi wa umma kwa nguvu zote lakini mambo yamekuwa tofauti:
i)hakuna nyongeza ya mishahara
ii)hakuna kupandishwa Madaraja
ii)uhamisho umezuiliwa n.k
Napenda kuikumbusha serikali kutosahau kundi hili la watumishi wa umma hasa wa kada za chini,juu ya mchango mkubwa walioutoa na wanaoendelea kuutoa kunyamaza kimya haimanishi hoja hazipo au matatizo yamekwisha
serikali ndio yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa isikimbie kivuli chake kwa kukwepa wajibu wake kwa kisingizio cha uhakiki tulioaminishwa utaisha baada ya miezi miwili lakini sasa ni mwaka unaenda,
sisi watumishi wa umma wengi wetu tunaweka nguvu na akiri zetu kwenye majukumu haya ya serikali na si vinginevyo hivyo ni vema maslahi yetu yaangaziwe kwa jicho pevu,shime serikali mficha maradhi kifo humuumbua.
Mbona hatujawaona wao wanawavumilia ACT?Hilo suala bado sana,sasa hv wako bize na madawa ya kulevya kwanza,endeleen kuwa wavumilivu.
Kufanya kazi serikalini awamu hii inatakiwa uwe polisi, jeshini au TISS wengine ombeni msaada kwa mungu hamna tija wala faida
Tatizo viongozi wao wenyewe wamekua kimya.Malalamiko ya m1 m1 hayana nguvu ila kama vyama vya wafanyakazi vikiamua kulalamika watasikilizwa.
Utashangaa watanadamana kusifia juhudiTUKIKARIBIA 2020 kamba itaregezwa kidogo ili kupata kura zenu. Baada ya hapo kibano tena.
Uchumi unaendeleaje huko, tunaomba mrejesho ni miaka miwili sasa.Uchumi utakaporuhusu basi maslahi ya wafanyakazi yataboreshwa.
Kwa sasa juhudi iliyopo ni ya kukuza uchumi kwanza.
Bado unazungusha mikono..?Hapana niliunga mkono sera ya mabadiriko nje ya ccm na sasa naiunga mkono serikali iliyo madarakani
Huu ndio muda wenyewe na kuzungusha kutalipa mwaka huu we subiri.Bado unazungusha mikono..?
Usile Mbegu.