Serikali ya 2009 ilipungukiwa nini?

Serikali ya 2009 ilipungukiwa nini?

Desierto

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
890
Reaction score
3,091
nakumbuka nikiwa darasa la 4 ilikuja gari moja shuleni, ikiwa na viatu vya kutosha vikapelekwa darasa moja hivo kila mwanafunzi anaingia na kupata saizi yake nzuri na kuondoka,

tukifungua shule tunapewa daftari na kalam penseli rula bureee,

watoto wasiokuwa na baba au mama hao ndo ilikuwa kipaumbele kila kitu wanapata mpaka nguo za shule
 
Ulirudi nyuma kidogo miaka ya 2004 mpaka 2008 tulikuwa tunapewa kilankitu kasoro begi tu,hyo hiyo ilikuwa iringa,wilaya ya mufindi
 
nakumbuka nikiwa darasa la 4 ilikuja gari moja shuleni, ikiwa na viatu vya kutosha vikapelekwa darasa moja hivo kila mwanafunzi anaingia na kupata saizi yake nzuri na kuondoka,

tukifungua shule tunapewa daftari na kalam penseli rula bureee,

watoto wasiokuwa na baba au mama hao ndo ilikuwa kipaumbele kila kitu wanapata mpaka nguo za shule
Mkuu hii sio ndoto, haya yametokea kwenye awamu ya kwanza ya utawala wetu,unakwenda shule unapata kila kitu cha kukuwezesha to achieve your dreams, na hii ni kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu DSM, pale chuo nimezamia sana misosi pale cafeteria ingawa sikua mwanachuo pale!,kuna sehemu kama nchi tuliingizwa chooni, kumbuka zile FTCs za Dar Tech, Arusha Tech etc etc zilikuwa super, PGM ya mazengo ECA ya mzumbe looo na PC& Educ ya mkwawa!!!
 
Kwa mwaka 2009,
Itakuwa mlipata wafadhili.

Labda kwa kuwa jamii yenu ilikuwa na changamoto kubwa ya umasikini unaoathiri elimu ya watoto.
 
Back
Top Bottom