Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,874
Watu wanaingia wengine wana fangasi, magonjwa ya zinaa ambayo yameotesha mapele miguuni nashangaa wengine wanachota na kiganja na kunywa ama kusukutua ili wachote baraka kuanzia miguuni hadi kwenye tumbo kumbe wanavuna fangasi.
TAZAMA PICHA HAPO CHINI.
Sent using Jamii Forums mobile app
TAZAMA PICHA HAPO CHINI.
Sent using Jamii Forums mobile app