Serikali, wasaidieni wananchi wa Kibondo atizo la maji

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Jul 24, 2014
24,504
28,692
Kwenye picha chini hizo sio Chocolates zinazomiminika kwenye mabomba bali ni maji yenye matope mazito yanayosukumwa toka kwenye chanzo cha mto kumugobhoka. Maji hayo hayafai sio tu kwa Binadamu hata Wanyama.

Haya maji yenye matope ndiyo wanayotumia wakazi wa mji mdogo wa Kibondo

Naiomba serikali tukufu , kuanzia kwa katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji bwana profesa kitila mkumbo, wasaidien wananchi wa kibondo kabla hawajaumwa na kupata magonjwa ya mlipuko
FB_IMG_1552105982742.jpeg
FB_IMG_1552105979399.jpeg
FB_IMG_1552105990690.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye picha chini hizo sio Chocolates zinazomiminika kwenye mabomba bali ni maji yenye matope mazito yanayosukumwa toka kwenye chanzo cha mto kumugobhoka. Maji hayo hayafai sio tu kwa Binadamu hata Wanyama.

Haya maji yenye matope ndiyo wanayotumia wakazi wa mji mdogo wa Kibondo

Naiomba serikali tukufu , kuanzia kwa katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji bwana profesa kitila mkumbo, wasaidien wananchi wa kibondo kabla hawajaumwa na kupata magonjwa ya mlipukoView attachment 1041224View attachment 1041225View attachment 1041226

Sent using Jamii Forums mobile app
Dar yenyewe maji nishida sembuse Kibondo 1400km kutoka Dar.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waambie wachague ccm,kinondoni,ukonga na siha nadhani wana maendeleo ukilinganisha kabla awajaunga juhudi
 
Back
Top Bottom