Serikali, wachukulieni hatua Clouds FM

Serikali, wachukulieni hatua Clouds FM

Kuilalamikia Clouds fm ni upumbavu wao wanachojali ni interests zao na mashabiki wao kama ninyi.Muilaumu serikali yenu dhaifu kwa kushindwa kuwadhibiti hao kenge.
 
Humu anayesifia tujue ni shoga , hiyo redio niliacha kitambo kusikiliza nashangaa watu hawakomi , hawawezi kufungiwa kwa kuwa kuna wakati wanatumika kisiasa na ccm lzm waume na kupuliza .
 
nimesikitika sana kumsikia Diva akiongea eti kusapoti malezibian na magays, huyu dada ana laana sana...pengine nae ni msagaji. Alafu sirikali inawaachia tu watu kama hawa wanachafua jamii...
Kama ni kweli. Si utoe. Report tcra. Wafungiwe haipendezi mambo kama hayo katika jamii yetu
 
Hao jamaa wa clouds wanajitahidi katika maandalizi ya vipindi vyao,isipokuwa kama mtu kakosea aombe samahani kwa Watanzania na atasamehewa,siyo kutukanana matusi,huo sio Utanzania.Nani aliye mkamilifu ?.
 
Ila mi nashangaa mbona mnaiskiliza ss nakuifuatailia hii kitu si bure......mana pia naona ni moja ya promo pia mnawapa, ni kupotezea tu,
 
nimesikitika sana
kumsikia Diva akiongea eti kusapoti malezibian na magays, huyu dada ana
laana sana...pengine nae ni msagaji. Alafu sirikali inawaachia tu watu
kama hawa wanachafua jamii...

Labda anatoa Ti...............g!
 
Yaan hawa jamaa wanajua maana ya Mungu kumuumba mwanamke na mwanamume kuwa tofauti???

Hivi sisi tunasikiliza michezo afu huyo Diva anaingia na mada zake za kusupport ushoga na usagaji??? Pumbavu kabisaaaaa!!!

Mungu si mjinga na wala si mpumbavu kufanya jinsi tofauti???

Sodoma na gomora zilichomwa moto kwa ajili ya wajinga kama hawa wa clouds fm wanaosupport kila siku ushoga!!!!

Ww shafii na ibrahim masoud huyo diva kaingiaje hapo kusupoti ushoga na wakati sisi tunasikiliza michezo????

Yeye akae na ujinga wake wa kipindi cha mapenz utadhan anayajue yeye????

Plzzz be serious u guys hii ni Tz huo ujinga muupeleke huko nje mnakokimbilia kusoma baada ya kufail hapa Tz

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ushoga ni asili ya viumbe vyote vinavyoishi Dunia hii, hata Wanyama wapo Mashoga, na Mimea, pia, kuna mpaka mahindi, kunde, zabibu zina tabia za kishoga, Ushoga Mtu anazaliwa nao sasa afanye nini?

Acha kuanzisha mapambano ambayo unajua kabisa huwezi kushinda, nenda katafute fedha ulisha Familia yako!

 
nimesikitika sana kumsikia Diva akiongea eti kusapoti malezibian na magays, huyu dada ana laana sana...pengine nae ni msagaji. Alafu sirikali inawaachia tu watu kama hawa wanachafua jamii...
Ile "fine" waliyopigwa na "TCRA-Serikali" haikutosha....Wakifungiwa mwaka mmoja ndiyo watatia akili kidogo
 
Watangazaji wake hawana taaluma ya habari, wanapena tu kazi kwa kujuana, huyo binti analazimisha umaarufu, maana mwaka jana pia aliwahi kuwasema vibaya wanaume, kikubwa anachotaka ni kumake headline tu...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kusema ukweli vitendo vya kishoga havipendezi ila tujaribu kufikiri kitu au vitu gani vinapelekea mtu kuwa shoga ktk dunia tunayoishi kuna watu wanazaliwa na jinsia mbili uke na uume! Watoto wanazaliwa wakiwa wameungana miili na kushare moyo mmoja, wengine wanazaliwa na mtindikio wa ubongo kuna mambo yanakwenda vibaya wakati mtoto yupo tumboni kwa mama kupeleka mtoto kuzaliwa na matatizo niliotaja hapo juu na mengine mengi pengine na ushoga pia, ila nina amini baadhi ya mashoga ni tamaa na wengine ni child abuse, ktk kipindi changu cha maisha yangu wakati nipo bongo sikuwahi kuona au kukutana na shoga,ila nilipokuja hapa Japan nilikutana nao kwa Mara ya kwanza ni vigumu sana kuwakubali hawa watu, Lakini somethin went wrong with them, it hard to put yourself into someone else shoes, pia nilikutana na binti wa kijapan ambaye nilimtongoza Lakini aliniambia yeye ni binti Lakini Ana jinsia za Kiume! Ukimuona ni binti kabisa sauti, maziwa,makalio na sura yake na wala Sio plastic surgery! Tusikatae moja kwa moja Kama tunaweza kukubali watu wenye matatizo mbalimbali ya kibaolojia tufike wakati tukubali ushoga upo hata Kama hatupendi, hata ukimwi ilikuwa hivi hivi unyanyapa, Kama watafanya mambo Yao vyumbani sisi inatuhusu nn? Let us god judge us all.
 
Huo ujinga waupeleke huko wanakoenda kusoma wakifeli Tanzania....nimeipenda hii
 

[TD="class: mainStory, align: center"]Customer Center : Complaint form [/TD]

[TD="class: headline"] [/TD]

[TD="class: headline"]
Please Send us your feedback! Fill the form below:​
[/TD]

[TD="class: More, align: center"][/TD]

[TD="class: headline"]

[TD="class: kaziBody, colspan: 2, align: center"] A: PARTICULARS
[/TD]

[TD="class: kaziBody, width: 33%, align: center"]Name of Complainant/Operator :[/TD]
[TD="width: 67%, align: center"][/TD]

[TD="class: kaziBody, align: center"]Address: :[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="class: kaziBody, align: center"]Occupation::
[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="class: kaziBody, align: center"]Name of Respondent:[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="class: kaziBody, align: center"]Respondent Address: [/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="class: kaziBody, colspan: 2, align: center"] B: NATURE/FACTS OF THE COMPLAINT
(State the facts disclosing the cause of action precisely and concisely) [/TD]

[TD="class: kaziBody, align: center"] [/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="class: kaziBody, colspan: 2, align: center"] C: RELIEF (S) SOUGHT [/TD]

[TD="class: kaziBody, align: center"] [/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="class: kaziBody, colspan: 2, align: center"] D: VERIFICATION
[/TD]

[TD="class: kaziBody, align: center"] [/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="class: kaziBody, align: center"] [/TD]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TD]
 
Back
Top Bottom