Serikali, wachukulieni hatua Clouds FM

Serikali, wachukulieni hatua Clouds FM

Existentialist

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
554
Reaction score
377
Yaan hawa jamaa wanajua maana ya Mungu kumuumba mwanamke na mwanamume kuwa tofauti???

Hivi sisi tunasikiliza michezo afu huyo Diva anaingia na mada zake za kusupport ushoga na usagaji??? Pumbavu kabisaaaaa!!!

Mungu si mjinga na wala si mpumbavu kufanya jinsi tofauti???

Sodoma na gomora zilichomwa moto kwa ajili ya wajinga kama hawa wa clouds fm wanaosupport kila siku ushoga!!!!

Ww shafii na ibrahim masoud huyo diva kaingiaje hapo kusupoti ushoga na wakati sisi tunasikiliza michezo????

Yeye akae na ujinga wake wa kipindi cha mapenz utadhan anayajue yeye????

Plzzz be serious u guys hii ni Tz huo ujinga muupeleke huko nje mnakokimbilia kusoma baada ya kufail hapa Tz

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hata mimi nilikua makini kuskiliza michezo, nikashtushwa na Maestro kumualika Diva na mada hiyo ya Uneshnomiling (usagaji) na wanamme kumangwa uroda!
 
nimesikitika sana kumsikia Diva akiongea eti kusapoti malezibian na magays, huyu dada ana laana sana...pengine nae ni msagaji. Alafu sirikali inawaachia tu watu kama hawa wanachafua jamii...
 
Hata mimi nilikua makini kuskiliza michezo, nikashtushwa na Maestro kumualika Diva na mada hiyo ya Uneshnomiling (usagaji) na wanamme kumangwa uroda!

Thz pple waache huo ujinga hlo onyo walilopewa haliwatoshi???

Plz wana JF tupinge hili kwa nguvu tena sanaaa hii nchi ina matatizo mengi ya kupigania na si kussuport ushoga na usagaji???

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ili kufanya kazi clouds lazima uwe unaunga mkono mahusiano ya jinsia moja.
Uyo diva ameshakobolewa sana na demu flani kipindi cha majuzi tu.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Du siamini! Alisemaje hasa unge tueleza vizuri,mimi si msikilizaji wa hicho kipindi,ila Diva na kipindi cha Michezo wapi na wapi?Ina maana
aliitwa specific kuzungumzia hayo mambo!!! Kama ni hivyo basi hali ni
mbaya!
 
Du siamini! Alisemaje hasa unge tueleza vizuri,mimi si msikilizaji wa hicho kipindi,ila Diva na kipindi cha Michezo wapi na wapi?Ina maana
aliitwa specific kuzungumzia hayo mambo!!! Kama ni hivyo basi hali ni
mbaya!

Hakuna mtu aliye na chuki na mtu mwanaJF huyu dada katamka kwa mdomo wake akadai yuko na rafiki zake ni mashoga na wasagaji so anatetea haki zao!!!

Anasema si bora serikali kutowapa haki zao za msingi na uhuru pia watambuliwe rasmi!!!

Hvi huyu dada akili zake ziko sawaaaaa????!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hawawezi kuchukuliwa hatua kwa kuwa hawajagusa maslahi ya watu. Mwanahalisi haikuchukua duru kwa kuwa ilikuwa inagusa mikate ya watu na maslahi yao. Hawa wataendelea kuongea ujinga bila kuguswa mkuu.:A S-heart-2::A S-baby:
 
Pengine wanamtumikia aliye toa hela zilizotumika kuanzisha kituo! Wanamtumikia Bwana wao. Umasikini nao kweli ni maradhi mabaya.
 
nilishawadharau muda mrefu. wakiongea mema au la maana ni mara moja moja sana.
 
Hili suala linahitaji tafakari tusifikiri kwa IMANI kwani hili suala lina utata mkubwa mimi nina mtu ninae mfahamu ambae toka akiwa mdogo tulihisi kuwa anatabia za kike wakati jinsia yake ni ya kiume, na hatimae hata marafiki zake wa karibu wakawa wasichana na sasa ni shoga aliekubuhu wakati mwingine nahisi hawa watu hawachagui kuwa hivyo tutafakari GREAT THINKERS
 
Inaonekana Clouds FM inawasikilizaji wengi sana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sugu aliwahi kuimba
Redia imejaa mashoga/
watangazaji wanaliwa kama mboga/
 
Hawakomi tu? Wamepigwa faini mil.5 kwa kosa hilo hilo alafu wanarudia tena
 
Hakuna mtu aliye na chuki na mtu mwanaJF huyu dada katamka kwa mdomo wake akadai yuko na rafiki zake ni mashoga na wasagaji so anatetea haki zao!!!

Anasema si bora serikali kutowapa haki zao za msingi na uhuru pia watambuliwe rasmi!!!

Hvi huyu dada akili zake ziko sawaaaaa????!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Sugu,mkoloni,vinega katika alibum ya antvirus walishatuambia cloud ni chimbo la mashoga na wasagaji kama uliwahi kusikia wimbo wao wa harusi. Kwahiyo lazima watetee ujinga wao,pambaf sana diva,pambaf redio cloud na ushoga wao
 
Hili suala linahitaji tafakari tusifikiri kwa IMANI kwani hili suala lina utata mkubwa mimi nina mtu ninae mfahamu ambae toka akiwa mdogo tulihisi kuwa anatabia za kike wakati jinsia yake ni ya kiume, na hatimae hata marafiki zake wa karibu wakawa wasichana na sasa ni shoga aliekubuhu wakati mwingine nahisi hawa watu hawachagui kuwa hivyo tutafakari GREAT THINKERS

Ni Ulemavu kama Ulemavu Mwingine Unaitwa UHOJI Yaani Upungufu wa Homoni za Jinsia.

 
Back
Top Bottom