Nimeona hii press release huko twitter, nikasema labda ni habari fake!!
Kwakuwa wanamshikia Lissu Bango huko mahakamani,basi na wao wawe wapole tu na wala wasilalamike maana sheria ni msumeno.
Hapo itabidi wagharamie chakula na malazi ya abiria wote in case watakosa ndege ya kuwasafirisha hao abiria.
Tusipotendeana haki sisi wenyewe humu nchini,haya majanga hayataisha(Mungu ataaendelea tu kutuadhibu)
Mungu si mwanadamu, na wote tuko sawa mbele yake.