Serikali pigeni Marufuku kujengea makaburi..

Serikali pigeni Marufuku kujengea makaburi..

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,027
Hii dunia ya sasa ina maajabu sana ,unapita makaburini unakuta kaburi limejengewa ukubwa wa meter 3/5 mtu1.
Hivi mnataka baada ya miaka50 wengine wazikiwe wapi? Hakuna kitabu cha dini kinacho endekeza kujengea makaburi..
Ni utashi wa watu binafsi na ubinafsi..km kaburi likipotea shida iko wapi?
Ilo kaburi linakusaidia nini unaliabudu au linakusaidia nn?
Nashauri serikali ipige marufuku kabisa kujengea makaburi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann ukae na maiti mda mrefu bila kuzika? - JamiiForums
Kwann ukae na maiti mda mrefu bila kuzika? - JamiiForums
Mada zako ni za kufakufa tuu, vipi umetamani kufa uende firdaus kwa wale mabikira wenu? chonde chonde nenda salama mwenyewe usije kutamani kwenda na wengine. Hata hivyo kuhubiriri hubiri vifo tu bila kubadilisha matendo kuishi kadiri atakavyo Mwenye enzi Mungu bado hakusaidii.
 
Sisi kwenye Biblia wapo watu walikua na makaburi yao, yamejengwa vizuri kabla ata hawajafa, mfano kaburi alilozikwa Yesu, likikua jipya la mtu aliye hai, tunakoenda tutaanza kumiliki makaburi na kuyauza au kuyakodisha(uwe na uhakika unakufa na kuoza ndani ya muda mfupi),
 
Unasumbuliwa na dini sana mkuu.

Utamaduni mwingine huwezi kiuzuia kwa hisia zako tu.
 
ISIS
ALSHABAB
BOKOHARAM
IKIRIRI

mi hata sijui nimeandika nini hapo juu,mzee wa maiti na makaburi.
 
Hii dunia ya sasa ina maajabu sana ,unapita makaburini unakuta kaburi limejengewa ukubwa wa meter 3/5 mtu1.
Hivi mnataka baada ya miaka50 wengine wazikiwe wapi? Hakuna kitabu cha dini kinacho endekeza kujengea makaburi..
Ni utashi wa watu binafsi na ubinafsi..km kaburi likipotea shida iko wapi?
Ilo kaburi linakusaidia nini unaliabudu au linakusaidia nn?
Nashauri serikali ipige marufuku kabisa kujengea makaburi..

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni kiazi kweli inakuhusu nini sema ukifa wewe usijengewe ufe ht sasa hivi pumbavu kbas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom