HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,235
- 103,335
Serikali ilitutangazia kuwa watoa ripoti kuhusu chanzo cha ajali ya ndege iliyoua abiria 19. Ila hadi leo ni siku ya 71 pamekuwa na ukimya kuhusu chanzo cha ajali.
Mawasiliano kati ya Ndege na Tower hurekodiwa na kutuzwa kwa muda wa Miezi 6 hadi Mwaka.
Je kuna ugumu gani kwa Serikali kutoa mawasiliano hayo ili tujue dakika 30 kabla ya ajali mawasiliano yalikuwaje?
Je, ni uzembe wa Rubani?
Je, ni Uzembe wa shirika?
Je, ni uzembe wa Tower ya Mwanza?
Je, ni uzembe wa TMA kutoa taarifa za hali ya hewa?
Je, ni uzembe wa ndege?
Kwanini tumesahau mapema hivyo?
Mawasiliano kati ya Ndege na Tower hurekodiwa na kutuzwa kwa muda wa Miezi 6 hadi Mwaka.
Je kuna ugumu gani kwa Serikali kutoa mawasiliano hayo ili tujue dakika 30 kabla ya ajali mawasiliano yalikuwaje?
Je, ni uzembe wa Rubani?
Je, ni Uzembe wa shirika?
Je, ni uzembe wa Tower ya Mwanza?
Je, ni uzembe wa TMA kutoa taarifa za hali ya hewa?
Je, ni uzembe wa ndege?
Kwanini tumesahau mapema hivyo?