Serikali imesema kwa atakayetoa taarifa na kufanikisha kukamatwa aliyetupa bomu ktk mkutano wa kampeni ya udiwani (CDM) akatabidhiwa kitita cha sh. mill 100.
ulipokuwa unasoma uzi wangu haujaona neno "serikali" mkuu wangu?
hiyo taarifa inapita kwenye screen (tbs) sasa kwenye kipindi cha Bunge. Serikali imezitenga hizo fedha kwa yeyote akatayetoa taarifa za kufanikisha kukamatwa kwa huyo mrusha bomu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.