Serikali mbili na Uhuru wetu

Serikali mbili na Uhuru wetu

Mdokezi2

Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
70
Reaction score
5
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu uwezekano wa kuwa na serikali tatu na bado ukawa 'Huru' kwa maana halisi ya kuwa huru. 'Marais watatu mizinga 63? Bendera ngapi? Misafara si ndo tutalala barabarani maana wakipita wako na magari ka mia hv!!! Na je huku sio kujiundia 'mkoloni mkazi??' mtawala anayetawala watawala wenu??? Huko ndiko kurudia dhana ileile ya ukoloni.
 
Serikali tatu zipo hivi sasa. 1.Serikali ya Zanziba. 2. Serikali ya Tanzania Bara (Tanganyika) inayoongozwa na Mh Pinda WM 3.Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mh Raisi JMK. Kwahiyo haya mabishano yanaweza tuu kunyoosha na kuweka mambo vizuri kisheria. Serikali 3 haziwezi kuvunja Muungano badala yake zitauimarisha. Prof. Banyikwa
 
Back
Top Bottom