Napenda kuamini kuwa serikali mbili ndo suruhisho la matatizo ya muungano.Hapatakuwa na mshikamano madhubuti katka masuala ya uchumi na maendeleo ya jamii na gharama ya kuziendesha serikali3 itakuwa kubwa kama tukikubali kuwa na serikali3 ndo maana Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake hazikubali pendekezo la Tume ya warioba la serikali3