Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 3,119
- 1,429
Wakazi wa Kijiji cha Kigina Kata ya Ntobeye wilayani Ngara mkoani Kagera waliokuwa wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya Maji safi na salama
Wanatarajia kuondokana na Changamoto hiyo baada ya Serikali kupeleka mradi mkubwa wa kuchimba kisima cha Maji
Kauli hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe.Ndaisaba George Ruhoro wakati akizungumza na wakazi wa Kijiji hicho cha kigina kata ya Ntobeye
alipo fanya Ziara ya kikazi na kumkabidhi mradi huo Mkandarasi atakaye tekeleza mradi huo
Akipokea mradi huo Mkandarasi Bw.Joseph Buzubona amemuahidi Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe.Ndaisaba George Ruhoro na wananchi wa Kata ya Ntobeye kuwa mradi huo atautekeleza kwa wakati na kwaufanisi
Kwaupande wake Diwani wa Kata ya Ntobeye wilayani Ngara Mhe.Sande Mkozi amemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Ngara kwa kufanikisha mpango wa wananchi kupata maji.
Wanatarajia kuondokana na Changamoto hiyo baada ya Serikali kupeleka mradi mkubwa wa kuchimba kisima cha Maji
Kauli hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe.Ndaisaba George Ruhoro wakati akizungumza na wakazi wa Kijiji hicho cha kigina kata ya Ntobeye
alipo fanya Ziara ya kikazi na kumkabidhi mradi huo Mkandarasi atakaye tekeleza mradi huo
Akipokea mradi huo Mkandarasi Bw.Joseph Buzubona amemuahidi Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe.Ndaisaba George Ruhoro na wananchi wa Kata ya Ntobeye kuwa mradi huo atautekeleza kwa wakati na kwaufanisi
Kwaupande wake Diwani wa Kata ya Ntobeye wilayani Ngara Mhe.Sande Mkozi amemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Ngara kwa kufanikisha mpango wa wananchi kupata maji.