mbarika JF-Expert Member Joined Apr 1, 2015 Posts 7,424 Reaction score 10,024 Nov 17, 2019 #21 dega said: Ndio maana nikasema kwamba umefika wakati Wazanzibar popote walipo kuungalisha nguvu dhidi ya uovu huu wanaouanda Watanganyika dhidi ya Visiwa vyet pendwa Click to expand... Tulia Wewe hamuwezi kujitawala wenyewe Someni kwanza muwe na wasomi wakutosha Sasa tutawaruhusu mjitawale lakin chini ya uangalizi wetu
dega said: Ndio maana nikasema kwamba umefika wakati Wazanzibar popote walipo kuungalisha nguvu dhidi ya uovu huu wanaouanda Watanganyika dhidi ya Visiwa vyet pendwa Click to expand... Tulia Wewe hamuwezi kujitawala wenyewe Someni kwanza muwe na wasomi wakutosha Sasa tutawaruhusu mjitawale lakin chini ya uangalizi wetu
Kitoabu JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 11,083 Reaction score 12,326 Nov 17, 2019 #22 Kama tango tukatiane, kila mtu na kipande chake. Serkali moja ndio issue.