kingfish
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 571
- 157
Serikali ina mpango wa kuifumua na kuijenga upya barabara ya lami inayotoka kitongoji cha halali(kijiji cha mayale) hadi kijiji cha ilembula ktk wilaya ya wanging'ombe.barabara hii imeunga kutoka barabara kuu ya dar-mbeya ktk kitongoji cha halali.wananchi wanahoji kwa nini serikali iingie gharama ya kuijenga upya kwani fedha hizo zingetumia kujenga kipande kingine kutoka ilembula kuelekea makao makuu ya wilaya igwachanya.barabara hii haipo ktk hali mbaya kama picha inavyoonesha.