UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,446
- 5,414
TRA wamekanushamakusanyo ya TRA bil600/=
ZITTO KABWE
TRA wamekanushamakusanyo ya TRA bil600/=
ZITTO KABWE
Wewe ndio hujaelewa...naamini kama mwekezaji pindi unapopata shida yoyote milango ya majadiliano na Serikali iko wazi sana na hiyo ni moja ya mazingira bora ya uwekezaji Hasa Nchini Tanzania.
Pamoja na kuwa sheria za Rasilimali zimebadilika lakii siamini kwamba zimeigeuza Tanzania kuwa Rigid dhidi ya wawekezaji.
Dangote ameenda mbali kutoa generalised comment ambayo inaweza kuathiri uwekezaji...ni vyema akatambua kuwa alichokitenda sio uungwana especially kwa yeye ambaye ni mwekezaji anayependelewa.
Sera zetu za uwekezaji ziko wazi na zinatabirika na hata hivyo tuna wajibu wa kuzirekebisha muda wowote pindi tunapoona mikataba haiko sawa na tunapoteza badala ya kufaidika.
Ikumbukwe wanaolilia mikataba yenye maslahi kwa pande mbili ni wananchi wanyonge wasio na huduma za afya na wala sio kwa maslahi ya Magufuli.
kama kawaida yako mzee wa pointless...Jitahidi ujibu hoja apo sio siasa za majibu mepesi mepesi...Huyo aliingia nchini kwa kuunga unga na feva za waliopita.. atulie aheshimu ya awamu hii na kuelewa sionya wapiga madili kumpa vya mkato mkato kama zamani.
Na ruzuku ya CHADEMA itatoka wapi? Au mkuu una hadithi ile unakata mtawi uku umeukalia.mi naona hao wawekezaji waondoke ili tuone sasa hizo kodi mtakusanya kwa kina nani....
kila mtu akiamua kulima mboga zake, akasaga mwenyewe unga wake, nguo asinunue mpya sijui mtapata wapi hela nyie mafisi
Ndio hapo sasa inavyoonekana sheria zinafuatwa kikamilifu hamna loophole anaanza kulalamikaSheria za uwekezaji hazijabadilishwa sioni sababu ya yeye kulalamika ukizingatia tangu anafanya investment zake sheria ni zile zile angelalamika before ya ku invest sawa.
Iyo 16% si ilikuwepo au mheshimiwa rais kabadilisha kwenye utawala wake?Sio jambo zuri kwa dangote kutuharibia promo Tz kuhusu wawekezaji huko kwenye media. Na yeye kama public figure katika uwekezaji africa inawagusa na kuwaogopesha hata wawekezaji wengine.
Ila kama hilo 16% interest ya kampuni inachukuliwa na serikali basi hakuna budi serikali iyapokee, ichunguze kwenye uwekezaji wa wengine kuna changamoto kama hayo ili waweze kuyafanyia kazi. Ila naye achunguzwe kama anaficha faida halisi anayoipata.
Uwekezaji ni zaidi ya serikali kupata kodi na tozo zingine, bali ajira, kipato, uchumi na maendelo ya nchi yanakuwa.
Umemuona kaongea ivyo au gazeti ndio limeendika kiingereza kibovu?Huyo Mwijage naye ni wale wale...mtu Kiswahili hajui na Kiingereza hajui. Kwa kweli tumetoka kapa awamu hii. Dangote is not aware with..., duh!
Akili ndogo ,kama yako,haiwezi kuelewa akili kubwa!Huyo aliingia nchini kwa kuunga unga na feva za waliopita.. atulie aheshimu ya awamu hii na kuelewa sionya wapiga madili kumpa vya mkato mkato kama zamani.
Ulizoea kuishi kwa kudanganywa na pipi kama mtoto mdogo. Pole sana.Mmetuharibia nchi na hata kile kidogo kilichokuwepo mnataka kukikimbiza, hivi mnataka sisi tuishije kwenye hii nchi?
mnataka tuwe kama zimbabwe ndio mfurahie?
naanza amini kuwa mapato yamepungua san ahadi aibu mnaona kuyatangaza
Serekali kwanini tuna endekeza rohooo ya kuomba kwani watanzania tuashindwa kuwekeza waache waondoke watazania milion hamsini atushindi North korea wemeweza je?Dar es Salaam. The minister for Industries, Trade and Investment Charles Mwijage has defended the government against accusations made by Mr Aliko Dangote that President John Magufuli’s policies scare away investors.
Mr Mwijage told The Citizen on Monday that the government’s investment policies are clear, transparent and aimed at ensuring that the government also benefits from the country’s resources.
In an article published by the Financial Times on Monday Mr Dangote, a major investor in Tanzania, was quoted as saying that the government has pursued policies that seek to “seize a majority share of assets.”
“They have scared quite a lot of investors and scaring investors is not a good thing to do,” Mr Dangote told the Financial Times Africa Summit in London on Monday, according to Financial Times.
Dangote, who own a $600 million (Sh1.3 trillion) cement factory in Mtwara, specifically mentioned a “backdoor plan” by the government to take up to 16 per cent of an investor assets for free.
But Mr Mwijage clarified that the “free carried interest” is a requirement for companies operating in the extractive industry that had existed in Tanzanian laws even before the recent review of laws.
“Investors in the extractive industry are obliged to seize16 per cent free carried interests to the government to ensure the country benefits from the natural resources,” Mr Mwijage said, adding; “I really expect Mr Dangote as one of major shareholders in the country to be conversant with our laws. Once a company comes and invest in the extractive sector, the government shares should not be less than 16 free carried interests. This is not wrong at all as the natural resources are ours,” Mr Mwijage told The Citizen in an interview with The Citizen.
Even as he insisted that the government will make sure that all investors in the country are abiding by the country’s laws, Mr Mwijage said he did not believe that Mr Dangote would be the one to castigate the country’s investment climate in the negative manner.
This, Mr Mwijage noted, was due to the “special attention” in which the Nigerian investor receives from the Tanzania government in his Dangote Cement factory.
“Dangote has not had any problems here. Whenever he encounters any difficulties the whole government rushes to his help. You remember when he had issues last year we were all available to help his cement factory,” Mr Mwijage noted.
In the Financial Times article, Mr Dangote was quoted as advising President Magufuli to “have a look at” his policies.
Chanzo:Citizen.
My Take :Kweli Dangote kakosa shukrani kwani kati ya investors waliowahi kupigiwa debe waziwazi na Magufuli basi ni Dangote tu...
Nimeamini kuwa nchi hii itajengwa na watanzania Wazalendo wengine wote ni wachumaji tu kwa manufaa yao.
I may agree with Hon Mwijage that probably Dangote was not conversant with pre existed Tanzania laws simply because in 2015 Dangote comments about Tanzania were as follows:
Nianze kwa kusema kuwa mwekezaji hawezi kuwa Dangote pekee!
Tumeshuhudia huo unaouita ni uwekezaji kuwa ni laana kwa Taifa...yaani kati ya mifano yote ya wawekezaji uliyoitoa hakuna asiye na sifa mbaya ya kulalamikiwa na watanzania.
Huo uwekezaji unaousifia kwa miongo zaidi ya miwili umeshindwa kutuondoa kwenye lindi la umasikini wa kutupwa lakini at the same time wawekezaji hao wamepiga hela ya kufa mtu na kutuachia mazingira mabovu yaliyochafuka na kuharibika.
Cha kushangaza uwekezaji huu wa kihuni unafanywa kwa Tanzania tu sio US au UK ...kule pamoja na masharti mengi husikii wakilialia.
Kusema Dangote amewekeza mtaji wa $600m bila kufahamu sheria za nchi ni kuushangaza ulimwengu na kuonyesha sheria zetu ni popo, hazieleweki na hubadilika bila kuzingatia uwekezaji.
Mambo mengine si vema kukurupuka na kujibu kwa sababu wewe ni waziri husika. Gazeti tunalojibu ni Financial Times si Tanzania Daima.
But Mr Mwijage clarified that the “free carried interest” is a requirement for companies operating in the extractive industry that had existed in Tanzanian laws even before the recent review of laws.
Mseme ninyi ndio mlimtapeli! yaani kwa akili zenu hela yote hiyo halafu mtu aje awekeze kimagumashi kweli!! Acheni ujuha CCM!Kwani kiwanda kikiwa na thamani kubwa hakiwezi kuongia nchini kwa kuungaunga?