Serikali kuongeza mishahara na madaraja watumishi bajeti ya 2022/2023

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
19,586
14,138
Samia hoyeee! Watumishi hoyee!

Uzi tayari

=====

Mishahara kuongezwa

Pia, Mwigulu alisema katika bajeti ijayo zimetengwa fedha kwa ajili ya mishahara, ikiwamo nyongeza ya mishahara, upandishaji madaraka na ajira mpya.

“Kati ya fedha hizo, Sh25.5 trilioni zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikiwa ni asilimia 62.2 ya bajeti yote, ikijumuisha Sh11.3 trilioni kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine za Mfuko Mkuu na Sh9.7 trilioni kwa ajili ya mishahara, ikiwemo nyongeza ya mshahara, upandishaji wa madaraja kwa watumishi na ajira mpya,” alisema Mwigulu.

Mwananchi

1647187843483.jpg
 
Samia hoyeee! Watumishi hoyee!

Uzi tayari

=====

Mishahara kuongezwa

Pia, Mwigulu alisema katika bajeti ijayo zimetengwa fedha kwa ajili ya mishahara, ikiwamo nyongeza ya mishahara, upandishaji madaraka na ajira mpya.

“Kati ya fedha hizo, Sh25.5 trilioni zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikiwa ni asilimia 62.2 ya bajeti yote, ikijumuisha Sh11.3 trilioni kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine za Mfuko Mkuu na Sh9.7 trilioni kwa ajili ya mishahara, ikiwemo nyongeza ya mshahara, upandishaji wa madaraja kwa watumishi na ajira mpya,” alisema Mwigulu.

Mwananchi
Wazee wa TGS (Halmashauri) mnakenua na kumpamba halafu Julai 2022 mnakutana na nyongeza ya 2,500 kama mwaka jana Julai 2021
 
Samia hoyeee! Watumishi hoyee!

Uzi tayari

=====

Mishahara kuongezwa

Pia, Mwigulu alisema katika bajeti ijayo zimetengwa fedha kwa ajili ya mishahara, ikiwamo nyongeza ya mishahara, upandishaji madaraka na ajira mpya.

“Kati ya fedha hizo, Sh25.5 trilioni zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikiwa ni asilimia 62.2 ya bajeti yote, ikijumuisha Sh11.3 trilioni kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine za Mfuko Mkuu na Sh9.7 trilioni kwa ajili ya mishahara, ikiwemo nyongeza ya mshahara, upandishaji wa madaraja kwa watumishi na ajira mpya,” alisema Mwigulu.

Mwananchi
Akiongeza 10,000 vyama vya wafanyakazi vinakata 7,000 kama Makato ya LAZIMA.

Halafu 2,000 inakatwa PAYEE.

Maumivu yanabaki pale pale.

Kama Wafanyakazi hawatashtukia hili jimamizi la vyama vya wafanyakazi Tanzania wataendelea kuumia tu.
 
Binafsi Sina ubaya na mama Samia,nimekaa na kadaraja ka mshahara wangu kwa miaka sita bila kupanda,mama kaingia ndani ya miezi mitano nikapanda daraja,sijaakaa sawa nyongeza ya mishahara,mungu mrehemu rais wetu mama Samia.

#kaziiendelee
 
Samia hoyeee! Watumishi hoyee!

Uzi tayari

=====

Mishahara kuongezwa

Pia, Mwigulu alisema katika bajeti ijayo zimetengwa fedha kwa ajili ya mishahara, ikiwamo nyongeza ya mishahara, upandishaji madaraka na ajira mpya.

“Kati ya fedha hizo, Sh25.5 trilioni zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikiwa ni asilimia 62.2 ya bajeti yote, ikijumuisha Sh11.3 trilioni kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine za Mfuko Mkuu na Sh9.7 trilioni kwa ajili ya mishahara, ikiwemo nyongeza ya mshahara, upandishaji wa madaraja kwa watumishi na ajira mpya,” alisema Mwigulu.

Mwananchi

View attachment 2149199
Suala la KUONGEZA MISHAHARA toka Awamu ya 5 imeingia Madarakani ulikuwa ni Wimbo wake kama haitoshi tukaambiwa Tume ya kuboresha Mishahara na Posho inakamilisha Viwango vya Mishahara na Marupurupu Leo ni Mwaka wa 7 Hakuna cha MISHAHARA wala MABORESHO endeleeni kudanganyika Siku zinakata Mbuga Ccm Oyee
 
Binafsi Sina ubaya na mama Samia,nimekaa na kadaraja ka mshahara wangu kwa miaka sita bila kupanda,mama kaingia ndani ya miezi mitano nikapanda daraja,sijaakaa sawa nyongeza ya mishahara,mungu mrehemu rais wetu mama Samia.

#kaziiendelee
Kwani kadanja?😁😂
 
Back
Top Bottom