The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Samia hoyeee! Watumishi hoyee!
Uzi tayari
=====
Mishahara kuongezwa
Pia, Mwigulu alisema katika bajeti ijayo zimetengwa fedha kwa ajili ya mishahara, ikiwamo nyongeza ya mishahara, upandishaji madaraka na ajira mpya.
“Kati ya fedha hizo, Sh25.5 trilioni zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikiwa ni asilimia 62.2 ya bajeti yote, ikijumuisha Sh11.3 trilioni kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine za Mfuko Mkuu na Sh9.7 trilioni kwa ajili ya mishahara, ikiwemo nyongeza ya mshahara, upandishaji wa madaraja kwa watumishi na ajira mpya,” alisema Mwigulu.
Mwananchi
Uzi tayari
=====
Mishahara kuongezwa
Pia, Mwigulu alisema katika bajeti ijayo zimetengwa fedha kwa ajili ya mishahara, ikiwamo nyongeza ya mishahara, upandishaji madaraka na ajira mpya.
“Kati ya fedha hizo, Sh25.5 trilioni zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikiwa ni asilimia 62.2 ya bajeti yote, ikijumuisha Sh11.3 trilioni kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine za Mfuko Mkuu na Sh9.7 trilioni kwa ajili ya mishahara, ikiwemo nyongeza ya mshahara, upandishaji wa madaraja kwa watumishi na ajira mpya,” alisema Mwigulu.
Mwananchi