Mandege kwa kisukuma ni mahindiTanzania ya mandegee,!!
Siyo kweli, ni tetesi tu!Tafadhari, niambie kuwa hii siyo kweli.
Aiseee af huwez kuamin viongoz woteWakati wanafikiri kusafiri kwa anasa hao viongozi wakumbushe haya tafadhali, kweli ukitoka kwenye umaskini ni rahisi kusahau yote aise! Duh hata mie naona JPM anayarudia makosa ya wenzake kule nyuma yote, kwani mkidandia hizi za KLM, Qatar, Emirates n.k. kuna ubaya gani?! Kweli miafrika shughuli, zikinunuliwa hizi, yote aliyofanya JPM tutayasahau, YOTE..
View attachment 510262 View attachment 510263 View attachment 510264 View attachment 510265 View attachment 510266 View attachment 510267 View attachment 510268 View attachment 510269 View attachment 510270 View attachment 510271 View attachment 510272 View attachment 510273 View attachment 510274
Kama noah mkuu ila inatumia zunya kibaoAbiria 6 hadi 8???
na ile inayotumika sasa itapelekwa wapi?
kwani michoka hadi ibadilishwe ingine, waache kuchezea kodi za wananchi
kama imechoka ipigwe hata service iingie angani iyoiyo!
mtu mwenyewe ata ndege anaziogopa sasa sijui nani ataitumia au Janeth?
Watu sita hadi nane. Sasa hiyo si itambeba tu Rais na baadhi ya Usalama wa taifa. Na wale anaoambatanaga nao kwenye misafara itakuwaje?
KweliHata Waziri Mkuu wa Uingereza husafiri na British Airways wakati Rais wa US hutembea na Airforce One
Wangekuwa wamenikamata zamani sana toka nimeanza kuandikaUkitaka kuprove hii habari ni very simple. Subiri uone kama TCRA watamkamata aliyeleta hii mada. Wasipomkamana 100% ni kweli.
Refer. Kwa 10m kwa kila mbunge
Bashite vyeti fake.
Ujenzi wa ikulu chato.