Serikali iwajibike kuhusu uhaba wa mafuta

Serikali iwajibike kuhusu uhaba wa mafuta

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
2,637
Reaction score
2,381
Serikali iache kuwachekea wafanyabiashara wa petrol. Kama vipi wanyanganyeni leseni ijulikane Moja. Suala la ukosefu wa Petrol linajirudia mara Kwa mara huku Serikali ikikaa kimya.

Matokeo yake watu wanatuuzia kwenye makopo Lita 7000.
 
Yaani Samia amnyang'anye JK leseni ya mafuta..!! Ni sawa na mtoto kumpiga baba yake makofi.

Haya yote Samia anayajua na hutosikia akitia neno..maana ni kama msahafu kwake.
 
Jumatano ya kwanza ya mwezi s next week? em kuwa mpole basi...
 
Wana bahati sana! Ingekuwa Magufuli wangeshikishwa adabu
 
Kizimkazi Hana muda huo.YY na kula bata tu. Huta kaa kumckia akitamka ju ya hili.
 
Serikali iache kuwachekea wafanyabiashara wa petrol. Kama vipi wanyanganyeni leseni ijulikane Moja. Suala la ukosefu wa Petrol linajirudia mara Kwa mara huku Serikali ikikaa kimya.

Matokeo yake watu wanatuuzia kwenye makopo Lita 7000.
Bro dollar ndio inazingua mzee hakuna kabisa
 
Wawajibike kwa kipi wakati ndio jana wamefunga tamasha la kizimkazi na "vieite" ziko full tank .

Wao wanasema "mama yupo kazini"

Nakala kwa : Lucas Mbwa Wa Shamba
 
Mfumo wa kuagiza Nishati ya Petroli na Dizeli uwe huria ili watu waagize kwa wingi
 
Back
Top Bottom