maramia
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,030
- 1,345
Kutakuwa hakuna maana kama viongozi na watumishi wa serikali/umma wanaotumbuliwa majipu na kufukuzwa ama kusimamishwa kazi watakuwa haraka haraka wanakimbilia kuajiriwa katika taasisi na sekta binafsi ns kwa hiyo kufukuzwa kwao hakutakuwa kunawaumiza sana.
Serikali iwe kali kwa watu hawa, mbona mwalimu aliweza? Aliweza kuamuru mtu arudi akaishi kijijini kwake na awe anaripoti kwa Dc ktk kipindi fulani au akalime na ikawezekana? Kwa mfano aliwahi kumfanyia hivyo Tuntemeke Sanga.
Serikali iwe kali kwa watu hawa, mbona mwalimu aliweza? Aliweza kuamuru mtu arudi akaishi kijijini kwake na awe anaripoti kwa Dc ktk kipindi fulani au akalime na ikawezekana? Kwa mfano aliwahi kumfanyia hivyo Tuntemeke Sanga.