Serikali itoe elimu kuhusu hatari ya kujifungia ndani na jiko la mkaa

David Goliath

JF-Expert Member
May 16, 2018
928
1,799
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, Serikali kupitia wizara ya afya na TCRA kupitia makampuni ya simu toeni elimu au tahadhari Kwa watanzania kutojifungia ndani wakiwa wamewasha majiko ya mkaa au kuni ndani ya nyumba.

Mara Kwa mara kumekuwa na matukio ya vifo vya watanzania wenzetu wakipoteza maisha kutokana na kujifungia ndani na majiko ya mkaa hasa kipindi cha baridi na mvua Ili kujipatia joto, ni wachache sana wanajua madhara yake na kati ya hao wachache wapo pia wanaopuuzia.

Naamini kupitia matangazo kwenye vyombo vya habari na makampuni ya simu na vipeperushii tunaweza kuokoa maisha ya watanzania wengi.
 
Nusura nizimie ndani ya geto nililala usingizi wa ajabu, ile kuamka kitandani niende uani kukojoa usiku, nilidondoka na kuishiwa nguvu. Kumbe nilijifungia ndani na jiko la mkaa. Bahati mkaa ulishaanza kuishia na kuwa majivu. Mpaka leo silali na jiko la mkaa ndani likiwa linawaka
 
Huko milima ya usambara,kuna jamaa
Nlimpelekaga huko usiku alikuwa anawasha kuni anajifungia ndani madirisha anafunga,nkamuonya iko siku utakuja kukauka
Lasivyo awe anawacha madirisha kuwepo na uwaZi hewa iwe inaingia

Ova
 
Jamaa yangu alikufa kifo cha huzuni sana yeye pamoja na mchepuko kwa sababu hii ulioitaja..RIP MWAMBA
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, Serikali kupitia wizara ya afya na TCRA kupitia makampuni ya simu toeni elimu au tahadhari Kwa watanzania kutojifungia ndani wakiwa wamewasha majiko ya mkaa au kuni ndani ya nyumba.

Mara Kwa mara kumekuwa na matukio ya vifo vya watanzania wenzetu wakipoteza maisha kutokana na kujifungia ndani na majiko ya mkaa hasa kipindi cha baridi na mvua Ili kujipatia joto, ni wachache sana wanajua madhara yake na kati ya hao wachache wapo pia wanaopuuzia.

Naamini kupitia matangazo kwenye vyombo vya habari na makampuni ya simu na vipeperushii tunaweza kuokoa maisha ya watanzania wengi.
Mungu akubariki sana, aendelee kukutunza na kukupigania sana katika Jina la Yesu!
 
Carbon monoxide poisoning.

Hii imekaa Kimarekani zaidi lakini unaweza kuitafsiri Kitanzania.


Overview
Carbon monoxide poisoning occurs when carbon monoxide builds up in the blood. When too much carbon monoxide is in the air, the body replaces the oxygen in the red blood cells with carbon monoxide. This can lead to serious tissue damage, or even death.

Carbon monoxide is gas that has no odor, taste or color. Burning fuels, including gas, wood, propane or charcoal, make carbon monoxide. Appliances and engines that aren't well vented can cause the gas to build up to dangerous levels. A tightly enclosed space makes the buildup worse.

Anyone exposed to carbon monoxide needs to get into fresh air and seek medical care right away. Call emergency medical services (EMS) or dial 911 right away for someone who's in a coma or can't respond.

Symptoms
Carbon monoxide poisoning affects the brain and heart the most. Exposure over time might lead to symptoms that can be mistaken for the flu without the fever. Clearer symptoms of carbon monoxide poisoning can include:

Headache.
Weakness.
Dizziness.
Nausea or vomiting.
Shortness of breath.
Confusion.
Blurred vision.
Drowsiness.
Loss of muscle control.
Loss of consciousness.
Symptoms related to the nervous system and brain can come on after recovery from carbon monoxide poisoning. The risk of these is higher in people who lost consciousness from the carbon monoxide and older people. Symptoms might include:

Memory loss.
Personality changes.
Movement problems.
Carbon monoxide poisoning can be especially dangerous for people who are asleep, drugged or drunk. Carbon monoxide can cause brain damage or death before anyone realizes there's a problem.

When to see a doctor
For possible carbon monoxide poisoning, get into fresh air and seek medical care right away.
the home. Put them near each sleeping area on every level of the house. Check the batteries at least twice a year at the same time as checking the smoke detector batteries.

If the alarm sounds, believe it! Leave the house and call 911 or the fire department. Carbon monoxide detectors are also made for motor homes and boats.

Open the garage door before starting the car. Never leave a car running in the garage, especially if the garage is attached to the house. That's true even if the garage door is open.

Use gas appliances only as intended. Never use a gas stove or oven for heat. Use gas camp stoves outdoors only. Use fuel-burning space heaters only when someone is awake to keep an eye on them and doors or windows are open. Don't run a generator in an enclosed space, such as the basement or garage.

Make sure there's space around fuel-burning appliances and engines. These include all gas appliances, space heaters and wood-burning stoves. Make sure they're vented properly.

Have professionals set up all gas, oil or coal-burning appliances. Have a qualified service-provider service them yearly.

Keep fireplaces in good condition. Clean the fireplace chimney and flue every year.

Keep vents and chimneys unblocked during remodeling. Check that they aren't covered by tarps or debris.

Do repairs before returning to where the poisoning occurred. If carbon monoxide poisoning has occurred in the home, find and repair the source of the carbon monoxide before staying there again. Have a qualified service person check and repair any appliances that might have caused the leak.
 
Back
Top Bottom