Masikio Masikio
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,843
- 3,379
Shirika la emirates bos wake ni mzungu ila shirika ni mali ya emirates kwanini serekali isitafute muwekezaji kutoka foreign country kupitia interview na wampe kazi
Sio tu mwendokasi hata TANESCO wapewe foreigner watanzaia wengi uwezo wa management hawana kubinafshisha moja kwa moja sio suluhusho
Tujifunze gulf countries walivyofanya kwenye mashirika yao ambayo yana ukwasi wa kufa mtu
Sio tu mwendokasi hata TANESCO wapewe foreigner watanzaia wengi uwezo wa management hawana kubinafshisha moja kwa moja sio suluhusho
Tujifunze gulf countries walivyofanya kwenye mashirika yao ambayo yana ukwasi wa kufa mtu