Serikali ipige marufuku watu ambao siyo 'Professional Teachers' kufundisha Private Schools

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Sep 25, 2014
2,881
4,885
Habari za uzima wapendwa...!!

kwanza nianze kwa ku declare interest kwamba mimi ni professional teacher. Kama tittle inavooleza nimeona nije na wazo hili ambalo naamini linaweza kuwa na tija kubwa katika tasnia ya elimu nchini kwetu.

Profession ya ualimu ni miongoni mwa profession ambazo zinaonekana kudharaulika na kila mtu anaweza kuifanya. Nimejaribu kufanya utafiti kudogo nimegundua kuna kundi kubwa na watu ambao hawakusomea ualimu lakini wanafundisha katika shule mbali mbali nchini. Binafsi naona kwamba ni kuidharau kada ya ualimu kwamba hata waloosomea kada hiyo si lolote wala chochote maana 'kila mtu anaweza kuifanya'.

Jambo hili ni hatari sana katika mustakabali wa ubora wa elimu yetu maana wakati mwingine 'walimu' hawa wanashiriki pia katika utunzi na usahishaji wa mitihani ya taifa. Naiona hatari hii kubwa juu ya ubora wa mitihani inayo andaliwa kuwapima wanafunzi wetu kwani nina amini hao 'walimu' hawajui qualifications of good examination na pia hata utunzu wao hawatumii table of specification ambayo ina m guide mwalimu namna ya kumpima mwanafunzi.

Wito wangu kama ilivyo kafa za udaktari ambazo huwa tunawaona madaktari fake ni wakati sasa wa kuwaona walimu fake ili kutoa nafasi kwa proffesional teachers to demonstrate their competencies katika peoffesion yao...

Rai yangu kwa serikali ipige marufuku 'walimu' hawa kwani ni hatari kwa mustakabali wa elimu yetu.

Nawasilisha karibuni kwa mjadala
 
Aaah sasa ww hata kama ni fake ila c wanapata matokeo mazur tuu! Wewe na Professional yako katafute shule ya serikal ufanye kazi!

Unajua kuna vitu wala havihitaji malumbano kikubwa ni kufikia malengo kwa kile mnachokilenga!

Serikal imeshindwa kujipanga na ndio maana haina matokeo na muekekeo mzur katika taasisi zao.

Na private school huwa wanafocus mlengo wao tuu hawaangalii uzoefu wala professional!
 
Habari za uzima wapendwa...!!

kwanza nianze kwa ku declare interest kwamba mimi ni professional teacher. Kama tittle inavooleza nimeona nije na wazo hili ambalo naamini linaweza kuwa na tija kubwa katika tasnia ya elimu nchini kwetu.

Professional ya ualimu ni miongoni mwa professional ambazo zinaonekana kudharaulika na kila mtu anaweza kuifanya. Nimejaribu kufanya utafiti kudogo nimegundua kuna kundi kubwa na watu ambao hawakusomea ualimu lakini wanafundisha katika shule mbali mbali nchini. Binafsi naona kwamba ni kuidharau kada ya ualimu kwamba hata waloosomea kada hiyo si lolote wala chochote maana 'kila mtu anaweza kuifanya'.

Jambo hili ni hatari sana katika mustakabali wa ubora wa elimu yetu maana wakati mwingine 'walimu' hawa wanashiriki pia katika utunzi na usahishaji wa mitihani ya taifa. Naiona hatari hii kubwa juu ya ubora wa mitihani inayo andaliwa kuwapima wanafunzi wetu kwani nina amini hao 'walimu' hawajui qualifications of good examination na pia hata utunzu wao hawatumii table of specification ambayo ina m guide mwalimu namna ya kumpima mwanafunzi.

Wito wangu kama ilivyo kafa za udaktari ambazo huwa tunawaona madaktari fake ni wakati sasa wa kuwaona walimu fake ili kutoa nafasi kwa proffesional teachers to demonstrate their competencies katika peoffesional yao...

Rai yangu kwa serikali ipige marufuku 'walimu' hawa kwani ni hatari kwa mustakabali wa elimu yetu.

Nawasilisha karibuni kwa mjadala
Mkuu sema unataka ipige marufuku ili wewe upate ajira
 
Naona sasa wewe una wivu wako tu.
Mwaka 2009 mi na jamaa zangu tulijitolea kufundisha tempo shule moja ya kata mwajiriwa qualified alikuwa mmoja tu. Sasa nachoweza kukwambia shule yetu ya kata ya kwanza kuanza kutoa Division 1. Yule mwanafunzi aliitwa Dar kwa waziri mkuu na alisomeshwa na serikali bure mpaka Leo. Tuambie tusingefundisha ingekuwaje kwa ile shule. Na VP matunda yetu non qualified teachers.
 
Ualimu Co professional ya kujidai.. Kila mtu anaweza akielekezwa kuandaa scheme of work na lesson plan anafundisha..
 
uyuu jamaa kaongea kitu kikubwa sana jaman, namuunga mkon kwa kusema, ualim is not only delivery or mastery of content kma ambavyo watu ambao sio walimu wanaami. ualim n zaid ivyo na ndo maana unakaa chuon 3 or 2 years for training. knachofanyka ktk baadh ya private n kuwalsha wanafunz na sio kuwafacilitate kuelewa, na ndo mana kwa kiac kkubwa elim yet ktk level ya secondary haiwez kutoa competent student au wanakuwa wachache sana. kuna haja yakuawachia walimu kazi yao. Mfano mtu kasomea labarotory af anafundsha bioloji, lakn ajui chochote kuhus methodoloj ya kufundshia bioloji, zaid ya kuwa ana uwezo mzur ktk ilo somo. Ndo mana chuon kuna koz nying zaid ya masomo ma2 ya kufundishia ili kukuandaa mwalm ipasavyo. Mf kwa digr kuna philosoph of education, test constraction and evaluation, culcurrum evaluation, psychology of education, reseach method of education, classrom interaction, cross cutting issue, educational statistics na nyngne nyng kutegemeana na chuo huska. Na zna umuhm mkubwa sana kwa mwalim,
 
Professional sio ishu, ishu ni VP unauwez wa kudeliver material kwa mwanafunz kuna waalim kibao na professional zao wanafundisha na wanafunz hawawaelew kazi yao kuongeo na ubao tu hawafamik binafc nlishawah kufindishw na walim haw ila wk walim sio profession education ila wanaujuz mzur wa kumuelewesh dent kwa iyo uwo wako ushamb
 
naoma watu wanakuja na evidence za kutosha kwa kusema hao walimu wanafaulisha, yes ni kweli wanafaulisha lakini wanafaulisha kwa sababu ya mfumo ume wa favour hivyo wanaweza kufaulisha, na ndiyo maana kama thread yangu mmeielewa vizuri sijasema kwamba hawa watu wanachangia katika kufelisha!! HAPANA. hoja yangu hapa ni kuwa walimu hawa wanachangia kudhoofisha mfumo wa elimu kwa sababu wameaminiwa mpaka wanaingia katika utunzi na usahishaji wa mitihani na ndiyo maana unaweza kuona mtihani wa taifa lkn unakuta naswali yote yanapima COMPETENCE tu ma kuacha other objectives kitu ambacho katika mfumo wa elimu sio kizuri kwa sababu unawapima wanafunzi katika category moja tu....
 
Mkuu sema unataka ipige marufuku ili wewe upate ajira
Mkuu mimi nina ajira tayari, sema huo ni mtazamo wangu tu namna gani tunaweza kuboresha elimu kwa kuipa heshima professional ya ualimu ili ishiriki kikamilifu katika kuboeesha sekta ya elimu nchini
 
Kuna shule moja nilitembelea,nilifurahi kumkuta jamaa yangu alisoma "Bachelor of Accounting". Nikamuuliza vipi Mkuu,akanambia yeye kaajiriwa kufundisha Book Keeping na Commerce na ndiye head of depatment.

Kiukweli wanafunzi wanafaulu vema masomo husika na Wanafaulu katika kiwango kinachoridhisha.

Hao Walimu Professionals hakuna kitu. Tunataka Impact,matokeo yaonekane mazuri.

Mwanafunzi hafundishwi profession ya Ualimu,anafundishwa jinsi ya kuikabili na kujibu Mitihani yake vyema. Tena na watu waliobobea katika eneo husika.
 
Wewe unayejiita professional teacher!shule unayofundisha iliwahi hata kuingia topten za kitaifa au kimkoa?na kama hapana ,uliwahi jiuliza kwanini?Tofautisha kati ya hobby na talent ,walimu wengi kama ninyi mnaojiita professional teachers hamnazo kwenye vyet vyenu.Mliingia kwenye hizo kazi as alternative way baada ya zote kufell.Hamuwez shindana na hao majamaa,kwanza wapo competent,pia wanaskills na IQ ya kutambua wanachofanya.Umeelewa????kama hujaelewa rudi class.
 
Habari za uzima wapendwa...!!

kwanza nianze kwa ku declare interest kwamba mimi ni professional teacher. Kama tittle inavooleza nimeona nije na wazo hili ambalo naamini linaweza kuwa na tija kubwa katika tasnia ya elimu nchini kwetu.

Professional ya ualimu ni miongoni mwa professional ambazo zinaonekana kudharaulika na kila mtu anaweza kuifanya. Nimejaribu kufanya utafiti kudogo nimegundua kuna kundi kubwa na watu ambao hawakusomea ualimu lakini wanafundisha katika shule mbali mbali nchini. Binafsi naona kwamba ni kuidharau kada ya ualimu kwamba hata waloosomea kada hiyo si lolote wala chochote maana 'kila mtu anaweza kuifanya'.

Jambo hili ni hatari sana katika mustakabali wa ubora wa elimu yetu maana wakati mwingine 'walimu' hawa wanashiriki pia katika utunzi na usahishaji wa mitihani ya taifa. Naiona hatari hii kubwa juu ya ubora wa mitihani inayo andaliwa kuwapima wanafunzi wetu kwani nina amini hao 'walimu' hawajui qualifications of good examination na pia hata utunzu wao hawatumii table of specification ambayo ina m guide mwalimu namna ya kumpima mwanafunzi.

Wito wangu kama ilivyo kafa za udaktari ambazo huwa tunawaona madaktari fake ni wakati sasa wa kuwaona walimu fake ili kutoa nafasi kwa proffesional teachers to demonstrate their competencies katika peoffesional yao...

Rai yangu kwa serikali ipige marufuku 'walimu' hawa kwani ni hatari kwa mustakabali wa elimu yetu.

Nawasilisha karibuni kwa mjadala
Nakubaliana na wewe kuwa walimu wanaofundisha shule nyingi za binafisi hawajasomea elimu ya ualimu, lakini kumbuka mkuu wengi wao wanaofundisha hizo shule ni wale wenye ufaulu wa juu katka masomo wayafundishayo tofauti na mwenye taaluma ya elimu ambapo kwa hapa tanzania mtu aliye feli ndiyo mwalimu na hii inapelekea shule nyingi za serikali kufanya vibaya tofauti na shule za binafsi zifundishwazo na watu wenye ufaulu na maarifa Kafka masomo yao.
 
Nakubaliana na wewe kuwa walimu wanaofundisha shule nyingi za binafisi hawajasomea elimu ya ualimu, lakini kumbuka mkuu wengi wao wanaofundisha hizo shule ni wale wenye ufaulu wa juu katka masomo wayafundishayo tofauti na mwenye taaluma ya elimu ambapo kwa hapa tanzania mtu aliye feli ndiyo mwalimu na hii inapelekea shule nyingi za serikali kufanya vibaya tofauti na shule za binafsi zifundishwazo na watu wenye ufaulu na maarifa Kafka masomo yao.
Mkuu issue ya kufelisha kwa shule za serikali kuna factors nyingi na wewe kama mdau wa elimu naamini unazijua vilivyo.
halafu issue ya kusema walimu ni wale walio feli imekaaje hii? nenda pale Mlimani, DUCE na MUCE kaangalie uafulu wa waliochaguliwa ualimu alaf nenda tumaini, teku na makumira uangalie walio changuliwa community development na Law halaf rudi hapa uje na mrejesho...
 
Kuna shule moja nilitembelea,nilifurahi kumkuta jamaa yangu alisoma "Bachelor of Accounting". Nikamuuliza vipi Mkuu,akanambia yeye kaajiriwa kufundisha Book Keeping na Commerce na ndiye head of depatment.

Kiukweli wanafunzi wanafaulu vema masomo husika na Wanafaulu katika kiwango kinachoridhisha.

Hao Walimu Professionals hakuna kitu. Tunataka Impact,matokeo yaonekane mazuri.

Mwanafunzi hafundishwi profession ya Ualimu,anafundishwa jinsi ya kuikabili na kujibu Mitihani yake vyema. Tena na watu waliobobea katika eneo husika.
Mkuu shule na ualimu ni zaid ya kumfundisha mwanafunzi kukabiliana na mitihani tu darasani!

mambo mengi zaidi ya hayo mwalimu anatakuwa awe nayo na ademonstrate kwa wanafunzi wake
 
Labda ubishi tu mkuu, ukweli ni huo elimu wengi ni division III, lakini ukienda kwenye hizo shule binafsi utakuta wengi wao mainjinia, wanasheria na wachumi ambao ufaulu wao lazima uwe wakiwago cha juu kwa masomo yao ya sekondari
 
Mkuu issue ya kufelisha kwa shule za serikali kuna factors nyingi na wewe kama mdau wa elimu naamini unazijua vilivyo.
halafu issue ya kusema walimu ni wale walio feli imekaaje hii? nenda pale Mlimani, DUCE na MUCE kaangalie uafulu wa waliochaguliwa ualimu alaf nenda tumaini, teku na makumira uangalie walio changuliwa community development na Law halaf rudi hapa uje na mrejesho...
Kwahiyo wanaosoma teku, makumira, tumaini uwezo wao wa ufaulu upo chini sana Mkuu?
 
Wewe unayejiita professional teacher!shule unayofundisha iliwahi hata kuingia topten za kitaifa au kimkoa?na kama hapana ,uliwahi jiuliza kwanini?Tofautisha kati ya hobby na talent ,walimu wengi kama ninyi mnaojiita professional teachers hamnazo kwenye vyet vyenu.Mliingia kwenye hizo kazi as alternative way baada ya zote kufell.Hamuwez shindana na hao majamaa,kwanza wapo competent,pia wanaskills na IQ ya kutambua wanachofanya.Umeelewa????kama hujaelewa rudi class.
Tembelea shule kama feza, marian na nyingine uone kama utakutana na mwalimu tu asiye na profesional!

Ni ukanjanja tu katika elimu shule nyingi za private hazina walimu wenye viwango
 
Wewe unayejiita professional teacher!shule unayofundisha iliwahi hata kuingia topten za kitaifa au kimkoa?na kama hapana ,uliwahi jiuliza kwanini?Tofautisha kati ya hobby na talent ,walimu wengi kama ninyi mnaojiita professional teachers hamnazo kwenye vyet vyenu.Mliingia kwenye hizo kazi as alternative way baada ya zote kufell.Hamuwez shindana na hao majamaa,kwanza wapo competent,pia wanaskills na IQ ya kutambua wanachofanya.Umeelewa????kama hujaelewa rudi class.
Mkuu mjadala huu kama umeufuatilia vizuri unaelezea mfumo mzima wa elimu..
Hoja ni hii uwepo wa walimu hawa umeathiri mpaka mode of assessment ambayo ndo inatoa product.. kwa hiyo suala la kufaulisha inawezekana kwa sababu mfumo una wa favour.
 
Back
Top Bottom