genius crazy
Member
- Oct 21, 2012
- 6
- 1
Kwa bahati mbaya mwaka 2012 ulikuwa ni mwaka mchungu sana hasa ktk tasnia ya sanaa,wasanii kadhaa walitutoka na pia wengine kufikishwa mahakamani na wengine kutafutwa na polisi.Nawazungumzia waliokufa ni pamoja na KANUMBA,SHARO na wengine nisiowakumbuka.mara baada ya kifo cha sharo zilitengenezwa message nyingi sana zinazohusiana naye kwa kumuigiza the way alivyokuwa akiongea,watu "wakaforwardiana" sana japo hazikuwa message nzuri kwa maoni yangu.Tumeanza tu mwaka 2012 msanii mwingine katutoka,namzungumzia SAJUKI,MUNGU Ailaze roho ya marehem mahali pema pepon,AMINA.Bila kuchelewa zishatengenezwa message za kukejeri zikihusisha kukutana kwa SAJUKI,KANUMBA NA SHARO,daaah nasikitika kwa sababu hazifariji zaid ya kulenga kuchekesha!! Cha ajabu serikali iko kimya sana kama waheshimiwa hawazipati.SERIKALI INASUBIRI IZUNGUMZIWE VIBAYA NDIPO WAPIGE MARUFUKU,Haipendez hatakidogo wanapaswa kuzuia hate pale mtu mmoja anapozungumziwa vibaya.WAWASISITIZE WATANZANIA KUFANYA/KUANDIKA MAMBO YATAKAYO CHOCHEA KUFANYA KAZI KWA MAFANIKIO!!! TUGENGE TZ YETU BADO TUPO NYUMA SANA!