Serikali inavyowakomoa walimu

Aliendaje Ulaya wkt ndege hazipo? alipaa!! Tza ndo walikuwa hawatakiwi kabisaa ajili ya lugumya aliktaaga chanjo yule!! yaani ujermani waajili asiye kuwa na chanjo?
 
Jingine, kwa mitihani ya kumaliza kidato cha nne 2021, wasimamizi ni walimu wa msingi wenye degree, na walimu wasimamizi kutoka sekondari wanadiploma, wenye masters wameachwa! Sasa utajiuliza elimu yetu inamaana gani, ukiwa wasome hawanamaana
 
Aiseee hadi inasisimua
 
Ualimu ndo Kada itoayo viongozi wakuu miaka yote 90% walikuwa walimu wakilalamika kama walimu ,ila tu ule msemo wa aliyeshiba.......
Mwalimu ilitakiwa awe na pesa nyingi kuliko mbunge.
 
Ualimu ndo Kada itoayo viongozi wakuu miaka yote 90% walikuwa walimu wakilalamika kama walimu ,ila tu ule msemo wa aliyeshiba.......
Mwalimu ilitakiwa awe na pesa nyingi kuliko mbunge.
Kuna uhalisia fulani.mfano uchaguzi uliopita walimu walitumika vibaya sana kuiba kura
 
Kuna watu Wana Diploma na wengine Bachelor ndiyo wamepata uteuzi katika Ofisi za serikali. Kwa Nchi yetu kinachoangaliwa ni unafahamiana na nani? He Una ndugu yako au rafiki yako anayeweza kukusemea? Vinginevyo turidhike kufanya kazi popote Kwa ajili ya Watanzania wenzetu. Ni vema vyombo vinavyohusika vikawa makini kufanya maamuzi yenye tija Kwa ajili ya Taifa letu
 
Huyo Lusinde degree holder,atamfikilia mtu mwenye PhD ili achekwe? Hapo yeye kaingia huko kisa njaa Sasa mwenye njaa akipata na kushiba hamwangalii mwenye shida! Huon akienda mikoan anavyowaharasi watumishi utadhan yeye anajua Kila kitu tena kwa sifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…