MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,038
- 2,224
Nakuomba useme ni kiasi gani TRA wanakusanya kwa mwezi. Hesabu kama hizo zinatolewa kila mara na TRA.
Sifahamu ni kiasi gani, lakini pia kutofahamu kiasi hicho haitanifanya nikubali bilioni 900. Ukiichukuwa hiyo kuvwa ni average basi kwa miezi 12 watakusanya zaidi ya trilioni 10 that will be over 55% of the 2014/15 budget 19.6 trillion. remember, the 19.6 tr are fictitious!
Angalia matumizi ya 2013/14 ndo utagundua kwamba budget zetu ni fictions. Kumbuka pia kwamba makusanyo ya TRA usiyaamini. Kuna pesa nyingi tu zisizoeleweka zinapelekwa wapi. Makusanyo ya TRA hayawiani na matunizi ya Serikali ambayo yako hazina.
Usipoteze muda kutafuta takwimu za TRA.