Serikali Inaishi kwa Matumaini...

Serikali Inaishi kwa Matumaini...

Ni bilioni mia tisa (bil 900) kwa mwezi, ila matumizi ndiyo makubwa zaidi ya mapato
 
acha ubishi wa kitu usichokijua!!!huwez kurun serikali kwa ml 900 kwa mwezi,ni billion 900.plz dont advertise ur ignorance!!


Usi panic..... bil900 nini? Tsh or US $?
Kuna hadithi kama hii imewekwa juzi wakidai USD 900bil... mapato ya mwenzi.Leo tunaona mwendelezo wa hadithi ...mkitaja wekeni vizio vya pesa Tsh900bil hakuna atakae hoji.
 
Acheni kazi maana mnaiontezea serikali deni jipya.acheni kazi jamani eh
 
Faida ya viongozi wenye damu ya kunguni pumbavu sana hawa...........!
Haya ni matokeo ya dhambi ya kutoheshimu maadili ya uongozi wa uma. Leo hii hayana pa kukimbilia sababu ya kuendekeza michezo ya kihanithi kwenye ofisi za serikali. Mwanaume aliyekamilika huwa anasimamia utendaji bora wa serikali sio uboya wa hawa vilaza kusimamia uharamia....ujangiri na ubadhirifu wa mali za uma...........so *** you all government leaders.......you are all pisses of shit........you will be recorded in the books of fools and ignorant bastards good for nothing and traitors of this wonderful nation. Miaka yote ya kuaminiwa na wananchi nyie m'metumia kufanya mambo ya kitoto.........*** you everybody in the government you will all rot in hell.........and i pray for a chance to pee on your graves........coz they will be jus deep holes carrying dead dirt bags full of shit..........*** you a bunch..........
 
Yupo sahihi, ni billion 900 sio million.

Huwa zinaenda wapi? Pesa nyingi hivyo halafu mnajenga barabara moja tu ya Kigogo - Tabata dampo, tena nayo imewashinda!

BRT ni mkopo wa bank ya dunia!
 
Hii serikali yetu naona na yenyewe tubinafsishe kwa mda. maana viongozi wetu hawana uchungu kabisa! na nchi yao
 
Ndio maana mwaka huu wanafunzi wa stashahada vyuo vya serikali mpaka sasa hawajaenda kufanya mafunzo kwa vitendo yaani BTP kwasababu PESA HAKUNA, Waalimu hawajaajiriwa kwasababu PESA HAKUNA. Nashangaa kuona BUNGE (the so called TUKUFU) Limeanza vikao vyake wakati Wanajua wazi kuwa Pesa hakuna. Hawa WABUNGE ndio wanaomaliza pesa za nchi kwa posho zao kubwa na HAKUNA LA MAANA WANALOFANYA. GOD HELP US ALL.
 
Taarifa yako mkuu siyo tetesi bali ndiyo habari kamili maana hata mfumo wa uendeshaji wa serikali unatia shaka.

Kwa sasa hali ya nchi ni ngumu na kwa njia ya kuoneza makusanyo zaidi TRA wameamua kuwakamua wamiliki wa Bajaji na Pikipiki ili kulipia mapato kwa kuanzisha mfumo wa kubali plate namba na jina ambapo kwa utaratibu huu kila mwenye pikipiki analipa si chini ya Tsh 50,000 elfu.

Licha ya makusanyo haya serikali haina namna ya kudhibti mapato hayo maana pesa inayoingia ni kubwa lakini inayoingia serikalini ni ndogo.

Kwa sasa mwelekeo wa serikali umevurugika na hivyo kuathiri huduma nyingi kama vile Afya kwa mahospitali kukosa dawa, Elimu na hasa vyuo vya ualimu vya serikali ambavyo wanafunzi wake wameshindwa kwenda kwenye mafunzo ya kwa vitendo{BTP}.

Pasipo kuwa na utaratibu wa kukusanya na kubana matumizi hakuna namna ya serikali kutoka hapa ilipofikia hadi hapo watakapofanya jitihada za kuwashawishi wahisani.

Wale tunaotegemea Mishahara ndio tuendeshe maisha yetu tujipange kisaikolojia na kuendelea kuombea serikali ili itoke hapa ilipofikia ili kuendeleza huduma muhimu kwa wananchi ikiwemo afya, elimu na Mishahara kwa watumishi.
 
Yupo sahihi, ni billion 900 sio million.

unaijua bilion 900 wew? Imekasoro bilion mia moja itimie trilion! Bajet ya nchi kwa mwaka ni trilion 18 pamoja na za mabakul ambazo si chin ya 50%! Daah! Mahaba niue
 
Faida ya viongozi wenye damu ya kunguni pumbavu sana hawa...........!
Haya ni matokeo ya dhambi ya kutoheshimu maadili ya uongozi wa uma. Leo hii hayana pa kukimbilia sababu ya kuendekeza michezo ya kihanithi kwenye ofisi za serikali. Mwanaume aliyekamilika huwa anasimamia utendaji bora wa serikali sio uboya wa hawa vilaza kusimamia uharamia....ujangiri na ubadhirifu wa mali za uma...........so *** you all government leaders.......you are all pisses of shit........you will be recorded in the books of fools and ignorant bastards good for nothing and traitors of this wonderful nation. Miaka yote ya kuaminiwa na wananchi nyie m'metumia kufanya mambo ya kitoto.........*** you everybody in the government you will all rot in hell.........and i pray for a chance to pee on your graves........coz they will be jus deep holes carrying dead dirt bags full of shit..........*** you a bunch..........

I will do the same, not only pee even to shit on there fck graves. We are screwed if this group of thugs lead by Kikwete does not disappear out of the magogoni. The CCM is massively corrupt

Kikwete Book is out now, order your copy now
Name of the book is How to destroy a country in ten years by Kikwete

 
Fucking thugs in disguise ruining the public offices.......fucking retards ............
 
Una uhakika na hiyo namba? Mimi nadhani ni billion 900.

Hapana! Bilioni 900 ni less bilioni 100 kuwa trilioni 1. TRA hawana uwezo huo na uchumi wetu haujaweza kuzalisha kodi ya kiwango hicho. Bajeti nzima ya nchi ni trioni za bandia kumi na kitu hivi!

Hatuamini lakini huo ndo ukweli kwamba haka ka nchi ni kamaskini na kana viongozi walioamini kwa miaka mingi kwamba wataomba omba tu!
 
Hapana! Bilioni 900 ni less bilioni 100 kuwa trilioni 1. TRA hawana uwezo huo na uchumi wetu haujaweza kuzalisha kodi ya kiwango hicho. Bajeti nzima ya nchi ni trioni za bandia kumi na kitu hivi!

Hatuamini lakini huo ndo ukweli kwamba haka ka nchi ni kamaskini na kana viongozi walioamini kwa miaka mingi kwamba wataomba omba tu!

Nakuomba useme ni kiasi gani TRA wanakusanya kwa mwezi. Hesabu kama hizo zinatolewa kila mara na TRA.
 
Back
Top Bottom