ketone
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 509
- 655
Kila siku..tulishatoa kibali cha kuajiri waalimu wa sayansi..huu ni zaidi ya mwezi wa nne..hicho kibali mlipeleka nchi ingine..
Ongeeni ukweli kuwa hatuna hela hivo hatuajiri..sio mbwembwe..
Au waziri husika aseme naogopa kutumbuliwa.nikitangaza ajira.
Ongeeni ukweli kuwa hatuna hela hivo hatuajiri..sio mbwembwe..
Au waziri husika aseme naogopa kutumbuliwa.nikitangaza ajira.