mahololelo
Member
- Oct 11, 2011
- 32
- 5
Leo meneja wa NSSF mkoa wa mara akiwa pamoja na HR meneja wa BARRICK NORTH MARA wamewatangazia wafanyakazi kwamba serikali imetoa TAMKO leo kwamba wanachama wote wa mifuko ya hifadhi ya jamii hawataruhusiwa kutoa michango yao mara baada ya kuacha au kufukuzwa kazi,kuanzia leo, MWENYE TAARIFA KAMILI KUHUSU TAMKO HILI ATUJUZE