ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
mkuu hapo umemaanisha nini?Kupostpond siyo ku dismiss kaka
mkuu hapo umemaanisha nini?Kupostpond siyo ku dismiss kaka
postponmkuu hapo umemaanisha nini?
Kwa kweli. Na kama hii sera ya viwanda itafeli, na nadhani haitafnikiwa kwa 100% ajira zitakuwa haba ukilinganisha na idadi ya wahitimu wa vyuo.Kitaeleweka to adi 2020 itafahamika to
Nimetokea kuipenda ccm gafra toKwa kweli. Na kama hii sera ya viwanda itafeli, na nadhani haitafnikiwa kwa 100% ajira zitakuwa haba ukilinganisha na idadi ya wahitimu wa vyuo.
Acha wee... nilikutega nione how far you know this issue... kumbe hujui bado...!! I just wanted to know how deep u understood the LETTER FROM UTUMISHI...!!
NIKUELEZE TU...!!
1: Kwa kawaida kila mwaka wa SERIKALI unaanza July, na kunakuwepo na promotion, kupandishwa vyeo, ajira mpya kwa waliopita interviews na nyongeza ya mishahara kila July ya mwaka... sasa hiyo HAITAKUWEPO...!" immediately July... but itakuwa PENDING..!! umeelewa... kisha wakimaliza kuhakiki watumishi hewa wataendelea na kuwaajiri, again be careful, kuna wale ambao TAYARI WASHAINGIZWA KTK PAYROLL hao watapata mshahara na ajira zao kama kawa.. hata June hii mwishoni kama yuko ktk payroll atalipwa...!! So sio kujibu kirahisi rahisi tu... huo waraka ni mfupi kuelewa na kutoa majibu hapa kama ww ndio umeandika..!!
2: Ile 2% ya punguzo from PAYE ya Rais alisema May Mosi ipo, so unafuu ni huo, ni kidogo but ndio hivyo..!!
3: Kuna watumishi ambao kwa sbb moja au nyingine hawakupanda vyeo kwa miaka kadhaa hadi 7 hv na wana sifa na skills zote, na very competent, na walishawasilisha their complains hata kama ni say 3 hao WATAPEWA PROMOTION tena kwa double...!! mserereko..!! So promotion pamoja na kupandishwa vyeo kwa baadhi ya watumishi ambao kuna rare cases kama hizo zipo kabisa... HATA WAZIRI KAIRUKI alisema wazi juzi.... ingia blog ya UTUMISHI utaona hilo tangazo la ANGELA KAIRUKI...!! www.utumishi.go.tz hapo kuna HABARI ZOTE ZA KILA SIKU ZA UTUMISHI WA UMMA.. so usiwe wa kupotosha watu humu..!!
So i just wanted to see how far you understand this adverts ya UTUMISHI... bado hujaielewa vema...!!
Nilitaka kujua tu uko vp... maana nimeona unajibu watu humu ndani as IF UKO UTUMISHI... NA UMESEMA UMEMUULIZIA MTU WA UTUMISHI..!! Hauko sahihi...!!
Be very very keen once you answer things you don't know well... na kutoa majibu kumbe hujui kitu... is BETTER UKAULIZA... i demeaned you..!!
Sio mitaa yote...toa mtaa wa lumumbamtaani watu washamchoka kabisaaaa
Ata lumumba wenyewe wamechoka wanapumulia gesSio mitaa yote...toa mtaa wa lumumba