Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

Sirikali ishapoteza dira,muelekeo na umaaruf mapema sana hawajjelewi kila wanaposhika moto
 
TUTAKUKUMBUKA JK,. HUKUWA NA KINYONGO KWENYE KUAJIRI, WALIMU WALIKUWA WANAMALIZA CHU WANA UHAKIKA WA KUPANGUWA KITUO CHA KAZI HATA KAMA MTU AMESOMA KISWAHILI /HISTORY
Kwani kiswahili/History sio masomo?
 
Lazima nchi ikae kwenye mstari.Piga kazi Magufuli.
Waliozoea ubabaishaji wataokota makopo mwaka huu.
 
Thanking you for being sincere & faithful...!!

Waambie na wengine waingie hapa, www.utumishi.go.tz watapata majibu yote.. watumishi wa UMMA hawana haja ya kuwa na WASIWASI HIVI HUMU.. hii ni SERIKALI YAO, IKO KWA AJILI YAO..

Serikali hii haitaki tu watumishi wezi, hewa, mafisadi, wazembe, wasio na sifa na wanabebwa ktk nafasi za juu sbb ya kujuana na wala rushwa.. na mambo kama hayo...!!

So all infos ziko hapa www.utumishi.go.tz na TUSIWATISHE WATUMISHI WA UMMA wale wanaokaribia kuajiriwa na wale ambao tayari wameajiriwa... jua promotion, kupanda mshahara, na hata kuendelezwa ni haki ya MTUMISHI WA UMMA..!! Fuata taratibu, fanya kazi kwa bidii, serikali iko macho inamjali kila mtumishi wa umma... na NDIO MAANA HUJAWAHI SIKIA KTK SERIKALI KUNA MWEZI WATUMISHI WAMEKOSA MISHAHARA... na huta sikia kamwe... serikali yoyote ile duniani is the GREATEST EMPLOYER...

Nawatakia siku njema zijazo zenye mafanikio tele... na kwaheriii...!!
Vizur sana
 
  • Thanks
Reactions: FDD
Tutaendelea tu kusoma namba mtaani , na sekta binafsi nao wanatutazama tu
 
mkuu umeelewaje

hembu dadavua
Kwamba kale lile ongezeko la mshahara kwa wale waliopanda daraja hivi karibuni halitakuwepo tena mwezi..tutaendelea na mishahara yetu ya zamani..ndio maana nikaomba hawa wakubwa wetu kwenye ajira wafikirie tena huo uamuzi maana ni utatuumiza sana tulio wengi.hilo ongezeko tulikuwa tunalisubiria kwa shauku sana.
 
kama waraka huo ni wa kweli basi utakuwa na athari kubwa sana haswa kwa ajira zote zinazopitia sekretariati ya ajira kwani wao wametajwa katka lengo namba moja LA war aka, ila sina hakika na wale ambao huajiriwa moja kwa moja na tamisemi kama sekta ya afya na elimu! kikubwa tuko kwenye mwendokasi acha tuisome kidogo ili tufikiri nje ya boksi!!!
Serikali imesitisha ajira zote. Unajuwa maana ya zote?
 
Kwamba kale lile ongezeko la mshahara kwa wale waliopanda daraja hivi karibuni halitakuwepo tena mwezi..tutaendelea na mishahara yetu ya zamani..ndio maana nikaomba hawa wakubwa wetu kwenye ajira wafikirie tena huo uamuzi maana ni utatuumiza sana tulio wengi.hilo ongezeko tulikuwa tunalisubiria kwa shauku sana.
Hapa kazi tu. Hutaki acha kazi
 
Hili la kupanga upya mfumo wa ajira za serikali nchini pamoja na kuboresha uwiano kati ya kazi inayofanywa na mshahara unaolipwa kwa hiyo kazi naliunga mkono 100%. Kwa hili namuunga mkono Mh. Rais, maana watu wengi serikalini walikuwa hawaeleweki wanafanya nini lakini unakuta mshahara walilipwa na kazi zao zilitengewa posho nyingi zilizolipwa kwa safari na kazi hewa. Wakati huohuo, wengine walifanya kazi kwa malipo kidogo, huku wakikabiliwa na tatizo sugu la ukosefu wa vitendea kazi.
 
Ni suala la kusubir tuone faida yake n nn, kwn kuangalia uwiano wa kazi na mshahara wa mtumishi n suala la msing,
 
All the best my dear lakini huko nako ukiona network hazisomi basi karibu tulime nyanya na kufuga kuku wa mayai! Au kama vp, hata kucheza filamu tu!

Nashukuru my dear kwa kunitia moyo. Nimependa uliponikaribisha kwenye kuvuta pesa, hongera. Utanisikia muda ukifika
 
Natumaini nitakapokuwa namalizia masomo ya chuo nitakuwa naweza ajiliwa serikalini nitoke kazini mapema na sio kutumikishwa na private mwisho wa siku naonaga watu hawapandi vyeo.
Hicho chuo pia kitakuwa kinatoa elimu fake kama wewe unasoma unalenga kuajiliwa. Nilidhani elimu yako ni ukombozi inayokupa uwezo kutumia maarifa yako kujiajili.
 
Back
Top Bottom