Serikali imekiri kushuka kwa pato la Taifa

Serikali imekiri kushuka kwa pato la Taifa

berno

Member
Joined
Mar 2, 2011
Posts
37
Reaction score
30
Serikali imebainisha kuwa pato la taifa kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2017 imeshuka na kusababisha taifa kumaliza na wastani wa ukuaji wa uchumi kwa asilimia 6.8 ikilinganishwa na asilimia ukuaji wa asilimia 7.7 mwaka 2016 , Chanzo Azam Tvhttps://www.facebook.com/azamtvtz/videos/969664239866484/
 

Attachments

Km kwa nguvu zote wanasema elim bure, uchumi umekua wakati wanatuma sh mia NNE kwa kila mwanafunzi. 400 inunue maadazi au daftari moja?
 
Dr. Mpango anasema deni la taifa limefika sh. bilioni arobaini na saba elfu mia nane ishirini na tatu nukta moja. Kwa nini asifupishe tu kwa kusema ni shilingi trilioni arobaini na saba nukta nane mbili tatu? Anadhani hatuelewi kuwa bilioni elfu moja ndio trilioni moja? Ataje tu interms of trilioni, asiogope. Yule aliyesema ana hela kuliko serikali, alishajua serikali ina deni kubwa kuliko mapato, kwa hiyo kwa net cash jamaa anaizidi serikali

www.facebook.com/azamtvtz/videos/969664239866484/
 
Serikali ya kihuni hii.....kujenga airport ya wanyonge chattel ndo kukua kwa uchumi huku watoto wa masikini wakikosa mikopo elimu ya juu
 
Dr. Mpango anasema deni la taifa limefika sh. bilioni arobaini na saba elfu mia nane ishirini na tatu nukta moja. Kwa nini asifupishe tu kwa kusema ni shilingi trilioni arobaini na saba nukta nane mbili tatu? Anadhani hatuelewi kuwa bilioni elfu moja ndio trilioni moja? Ataje tu interms of trilioni, asiogope. Yule aliyesema ana hela kuliko serikali, alishajua serikali ina deni kubwa kuliko mapato, kwa hiyo kwa net cash jamaa anaizidi serikali

www.facebook.com/azamtvtz/videos/969664239866484/
nimekuelewa vizuri
 
Unaweza bana watu kwa kodi zisizo na uhalisia huku ukibana matumizi na ukaona kama uchumi na mapato vinakuwa ila ni illusion tu. Baada ya muda uzalishaji unapungua sababu ya kodi kubwa na uchumi na mapato vinaanza kuporomoka kwa kasi.
 
Back
Top Bottom