Serikali imebainisha kuwa pato la taifa kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2017 imeshuka na kusababisha taifa kumaliza na wastani wa ukuaji wa uchumi kwa asilimia 6.8 ikilinganishwa na asilimia ukuaji wa asilimia 7.7 mwaka 2016 , Chanzo Azam Tvhttps://www.facebook.com/azamtvtz/videos/969664239866484/