Nimepata taarifa kuwa serikali imefuta kesi ya negligent driving dhidi ya jaji ambaye aligonga na kuuwa mtu. Nina washangaa sana watanzania. wakati Kenya naibu jaji mkuu anashughulikiwa kwa kutishia mtu kwa bastola, hapa kwetu tunamkingia kifua jaji ambaye ana dereva na gari ya serikali anayeamua kuendesha usiku wa manane na kwa uzembe analeta madhara. ni madereva wangapi wamepelekwa court kwa uzembe? Je, bila hukumu waathirika watalipwaje na bima? Kwanini jaji awe juu ya sheria? kama taarifa hizi ni za kweli basi tz imefika pabaya