Serikali imedhamiria kujitoa kabisa kudhamini elimu ya juu?

Hivi huwa inakuwaje mzazi asomeshe mwanaye St. MARY tangu chekechea hadi form six halafu akifika chuo aombe mkopo wa kusoma BA General wa Tshs laki 8? Serikali itumie kigezo kimoja tu kuwapa wanafunzi mikopo na kigezo hicho kiwe ni kuwapa mkopo wanafunzi waliosoma shule za wajela jela basi.

na kwa mtoto aliesoma hizo shule mpaka form 6 mshua wake akapoteza maisha halafu bi mkubwa ni mama wa nyumbani hana mbele wala nyuma huyo utamsaidiaje bwana mikopo?
 
na kwa mtoto aliesoma hizo shule mpaka form 6 mshua wake akapoteza maisha halafu bi mkubwa ni mama wa nyumbani hana mbele wala nyuma huyo utamsaidiaje bwana mikopo?

JAMANi na mimi nasubiri jibu la swali hili.
 
Hali itakuwa tete sana kwa wadogo zetu, tuwape pole sana mlioko mashuleni, lakini ngoja tuangalia means testing za mwaka huu wa masomo zitakuwaje.
 
na kwa mtoto aliesoma hizo shule mpaka form 6 mshua wake akapoteza maisha halafu bi mkubwa ni mama wa nyumbani hana mbele wala nyuma huyo utamsaidiaje bwana mikopo?

Swali zuri. Kuna shule inaitwa St. Jude inasomesha watoto maskini bure, kwa mantiki hiyo na hawa watoto wakose ufadhili?
 
Bado sijaelewa nimechek koz za maabara {medical laboratory} naona mkopo non-priority,vp hiyo siyo faculty ya science au kila mtu akasome nursing.naona giza tu
 
Back
Top Bottom