Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Vodacom, Tigo, Airtel na Halotel wote wapiga dili tu. Kama Serikali hii kweli ni ya wanyonge basi iboreshe TTCL isambae nchi nzima na network ya uhakika bila kusahau huduma bora na nafuu kwa wananchi angalau tutakomboka kutoka kwenye himaya ya hawa mabeberu wanaoongozwa na VodaCom Tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app