Serikali iliahidi reli ya SGR Dar-Morogoro itaanza Novemba 2019, hadi sasa hakuna kitu

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,906
Serikali iliahidi kufika Novemba 2019 reli ya kiwango cha kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ingekuwa imekamilika na kuanza safari ila hadi sasa hakuna maendeleo yoyote, ujenzi haujafika hata 70%.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakya na umeme megawati 5,000 na itaanza kuuza nje ila hadi sasa sidhani hata megawati 1500 tumefikisha. 2025 itafika hata megawati 3000 hatujafikisha. Naunga mkono mradi wa umeme mto rufiji.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakuwa ya viwanda, bado miezi 2 viwanda viko 4,000 kwenye makaratasi ila live havifiki hata 20.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi itakua imehamia Dodoma once and for all, na kuuza Ikulu ya Dar es Salaam, hadi sasa serikali yote kivitendo iko Dar es Salaam, iko Dodoma kwenye makaratasi.

Je, Serikali yetu hii huwa inaamini kwenye miradi itakamilika kwa matamko? Kwanini inapenda kusema uongo wa wazi, au ukishakuwa kiongozi unaamini wote unaowaongoza hawana akili ila wewe?
 
Serikali iliahidi kufika Novemba 2019 reli ya kiwango cha kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ingekuwa imekamilika na kuanza safari ila hadi sasa hakuna maendeleo yoyote, ujenzi haujafika hata 70%.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakya na umeme megawati 5,000 na itaanza kuuza nje ila hadi sasa sidhani hata megawati 1500 tumefikisha. 2025 itafika hata megawati 3000 hatujafikisha. Naunga mkono mradi wa umeme mto rufiji.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakuwa ya viwanda, bado miezi 2 viwanda viko 4,000 kwenye makaratasi ila live havifiki hata 20.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi itakua imehamia Dodoma once and for all, na kuuza Ikulu ya Dar es Salaam, hadi sasa serikali yote kivitendo iko Dar es Salaam, iko Dodoma kwenye makaratasi.

Je, Serikali yetu hii huwa inaamini kwenye miradi itakamilika kwa matamko? Kwanini inapenda kusema uongo wa wazi, au ukishakuwa kiongozi unaamini wote unaowaongoza hawana akili ila wewe?
Ngariba alikuwa na haraka akakutoa ulimi akidhani labia minora
 
Maneno ya wanasiasa usiyaamini hadi yatimie,bado miezi miwili mwaka uishe upinzani pamoja na misukosuko still uko imara achilia dalili ya kufa kama ilivotabiriwa na nabii,mwanzoni mwa 2017 tuliambiwa hadi kufika juni atakayebaki mjini ni mwanaume kwa kusomeshwa namba na kulimia meno mwaka wa pili sasa tungali mjini tunadunda tu Mola anatujalia riziki na si mwanadamu atukamiaye,.Mwaka 1993 tuliambiwa kufika 2000 shida ya maji itakuwa historia tz,nadhani maji ndio yamekuwa wimbo wa historia.Hawa wanasiasa Mungu anawaona
 
Serikali iliahidi kufika Novemba 2019 reli ya kiwango cha kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ingekuwa imekamilika na kuanza safari ila hadi sasa hakuna maendeleo yoyote, ujenzi haujafika hata 70%.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakya na umeme megawati 5,000 na itaanza kuuza nje ila hadi sasa sidhani hata megawati 1500 tumefikisha. 2025 itafika hata megawati 3000 hatujafikisha. Naunga mkono mradi wa umeme mto rufiji.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakuwa ya viwanda, bado miezi 2 viwanda viko 4,000 kwenye makaratasi ila live havifiki hata 20.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi itakua imehamia Dodoma once and for all, na kuuza Ikulu ya Dar es Salaam, hadi sasa serikali yote kivitendo iko Dar es Salaam, iko Dodoma kwenye makaratasi.

Je, Serikali yetu hii huwa inaamini kwenye miradi itakamilika kwa matamko? Kwanini inapenda kusema uongo wa wazi, au ukishakuwa kiongozi unaamini wote unaowaongoza hawana akili ila wewe?
Una majungu kweli!! Kwani November tayari?
 
Serikali iliahidi kufika Novemba 2019 reli ya kiwango cha kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ingekuwa imekamilika na kuanza safari ila hadi sasa hakuna maendeleo yoyote, ujenzi haujafika hata 70%.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakya na umeme megawati 5,000 na itaanza kuuza nje ila hadi sasa sidhani hata megawati 1500 tumefikisha. 2025 itafika hata megawati 3000 hatujafikisha. Naunga mkono mradi wa umeme mto rufiji.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakuwa ya viwanda, bado miezi 2 viwanda viko 4,000 kwenye makaratasi ila live havifiki hata 20.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi itakua imehamia Dodoma once and for all, na kuuza Ikulu ya Dar es Salaam, hadi sasa serikali yote kivitendo iko Dar es Salaam, iko Dodoma kwenye makaratasi.

Je, Serikali yetu hii huwa inaamini kwenye miradi itakamilika kwa matamko? Kwanini inapenda kusema uongo wa wazi, au ukishakuwa kiongozi unaamini wote unaowaongoza hawana akili ila wewe?
Wanamimina ahadi kimihemko na mizuka ya jukwaani,tatizo linakuwa kwenye kuzitekeleza.Kipindi cha uchaguzi kikiwadia wanakuambia hawakuahidi hayo halafu wanatiririka na ahadi mpya.Hii ni baada ya kuona sisi Watanzania hatuna Tabia ya kuhoji persistently,tunaanza kuimba mapambio ya hizi mpya na hakuna anayejali.
Tungekuwa na Sera za kitaifa na malengo ingesaidia kuwafanya wawajibike.
Watanzania tudai Katiba ya wananchi.
 
Screenshot_20191016-224559-picsay.jpeg
 
Serikali iliahidi kufika Novemba 2019 reli ya kiwango cha kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ingekuwa imekamilika na kuanza safari ila hadi sasa hakuna maendeleo yoyote, ujenzi haujafika hata 70%.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakya na umeme megawati 5,000 na itaanza kuuza nje ila hadi sasa sidhani hata megawati 1500 tumefikisha. 2025 itafika hata megawati 3000 hatujafikisha. Naunga mkono mradi wa umeme mto rufiji.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakuwa ya viwanda, bado miezi 2 viwanda viko 4,000 kwenye makaratasi ila live havifiki hata 20.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi itakua imehamia Dodoma once and for all, na kuuza Ikulu ya Dar es Salaam, hadi sasa serikali yote kivitendo iko Dar es Salaam, iko Dodoma kwenye makaratasi.

Je, Serikali yetu hii huwa inaamini kwenye miradi itakamilika kwa matamko? Kwanini inapenda kusema uongo wa wazi, au ukishakuwa kiongozi unaamini wote unaowaongoza hawana akili ila wewe?


Jamani tujifunze kushukuru na kupongeza kwa kinachofanyika, ukifika site ndipo utaelewa juhudi zilizopo, sidhani kama umefanikiwa kwenda kuona watu wanavyofanya kazi usiku na mchana kwenye maeneo ya kazi, changamoto huwa hazikosekani, hata Mungu alifanya kazi kwa awamu
 
Jamani tujifunze kushukuru na kupongeza kwa kinachofanyika, ukifika site ndipo utaelewa juhudi zilizopo, sidhani kama umefanikiwa kwenda kuona watu wanavyofanya kazi usiku na mchana kwenye maeneo ya kazi, changamoto huwa hazikosekani, hata Mungu alifanya kazi kwa awamu
Kama asubuhi unaamka unaenda job jioni umerudi ndani una peruzi JF siku inaisha, uko sawa kubwabwaja mdomo na kusema hakuna kinacho fanyika kwenye utawala huu, ila kama unatembea na kusafiri sehem mbalimbali ukaona vitu vinavyo fanyika uto sita kuumpa pongezi jiwe.
 
Ww una wivu
Kwan November tayar??
Alafu inaweza kuwa 30/11/2019.
Cha msing iwe november, ngoja tusubir.
 
supporting this
Labda wangetoa tathmini ya mradi na kutoa ahadi mpya kama kuna delay yoyote.
Jamani tujifunze kushukuru na kupongeza kwa kinachofanyika, ukifika site ndipo utaelewa juhudi zilizopo, sidhani kama umefanikiwa kwenda kuona watu wanavyofanya kazi usiku na mchana kwenye maeneo ya kazi, changamoto huwa hazikosekani, hata Mungu alifanya kazi kwa awamu
 
Kama asubuhi unaamka unaenda job jioni umerudi ndani una peruzi JF siku inaisha, uko sawa kubwabwaja mdomo na kusema hakuna kinacho fanyika kwenye utawala huu, ila kama unatembea na kusafiri sehem mbalimbali ukaona vitu vinavyo fanyika uto sita kuumpa pongezi jiwe.


Huwa napata mashaka na wanaoponda mambo yanayofanyika kwenye hii awamu, sijui kama wanalinganisha kwa lipi na awamu tangulizi.
Personally nimefika Morogoro na Kilosa nimewaona wale waturuki wanakesha site halafu mtu anaandika akiwa sijui Kyela au Rukwa ati hakuna kitu.
 
Serikali iliahidi kufika Novemba 2019 reli ya kiwango cha kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ingekuwa imekamilika na kuanza safari ila hadi sasa hakuna maendeleo yoyote, ujenzi haujafika hata 70%.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakya na umeme megawati 5,000 na itaanza kuuza nje ila hadi sasa sidhani hata megawati 1500 tumefikisha. 2025 itafika hata megawati 3000 hatujafikisha. Naunga mkono mradi wa umeme mto rufiji.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakuwa ya viwanda, bado miezi 2 viwanda viko 4,000 kwenye makaratasi ila live havifiki hata 20.

Mwaka 2016 Serikali iliahidi itakua imehamia Dodoma once and for all, na kuuza Ikulu ya Dar es Salaam, hadi sasa serikali yote kivitendo iko Dar es Salaam, iko Dodoma kwenye makaratasi.

Je, Serikali yetu hii huwa inaamini kwenye miradi itakamilika kwa matamko? Kwanini inapenda kusema uongo wa wazi, au ukishakuwa kiongozi unaamini wote unaowaongoza hawana akili ila wewe?
Hasante kwa kunikumbusha nilikuwa nimesha sahau
Nilikuwa nasubiri 2020 waje wanidanganye tena
 
Back
Top Bottom