Serikali iko taabani kifedha

Budget ya mwaka 2012/2013 wameshindwa kutekeleza tasisi nyingi na halmashauri ziko hoi kifedha,bungeni wanacheza tu nchi inaaangamia.

Mbona mna haraka? Ngojeeni afungue mapochopocho. Ndiyo kwanza amerudi kutoka kuomba.
 
Sio rahisi kihivyo serekali hii kuishiwa ila zinapungua na zikipungua tu inakwenda kukopa kwenye taasisi nyingine na mambo yanakwenda kama kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…