Wafanyakazi wa vyuo vikuu vya umma waliopandishwa vyeo kuanzia julai 2010 na kuendelea hawajalipwa nyongeza za miaka hiyo. Serikali ijitahidi kuwajibika kwa wananchi wake kama kweli lengo ni kuleta maendeleo.
Unataka kusema Lowassa ndo raisi wa TZ 2015- 2020? au unamanisha atakuja kulipa akiwa nani nalini? making me sick!
sio huko tu, waulize walimu labda lowassa atakuja kulipa.
sio huko tu, waulize walimu labda lowassa atakuja kulipa.